Naunga Mkono Simba kujitoa Ligi Kuu!

Naunga Mkono Simba kujitoa Ligi Kuu!

adakiss23

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
4,896
Reaction score
5,258
Kweli soka letu litazidi kurudi na kamwe halitasonga mbele. No wonda kila siku tunazidi kudidimia ktk viwango wa fifa. Inatia aibu na haiingii akilini kamati ya sheria ya tff kutofuata sheria na kanuni walizoziweka wenyewe. Yondani amesini mikataba miwili iko dhahiri kabisa iweje aidhinishwe kuichezea Yanga tena kuwa kupiga kura na wajumbe wa kamati?? Sheria inasemaje?? Hivi kama haya yanaonekana dhahiri mwanzoni hata ligi bado haijaanza je! Uko mbele itakuwaje? Au ndo yale ya refa Oden Mbaga kuchezesha mechi 3 mfululizo zinazoihisisha Yanga tena pale taifa 2! naunga mkono mkutano mkuu uitishwe tupate baraka za wanachama tukafungue kesi ktk mahakama ya kiraia ili tff itufungie na fifa iwafungie tff ili tuanze upya. Othawise tukikata rufaa kwa kamati hiyohiyo ya mgongolwa mambo yatakuwa yaleyale 2.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kweli soka letu litazidi kurudi na kamwe halitasonga mbele. No wonda kila siku tunazidi kudidimia ktk viwango wa fifa. Inatia aibu na haiingii akilini kamati ya sheria ya tff kutofuata sheria na kanuni walizoziweka wenyewe. Yondani amesini mikataba miwili iko dhahiri kabisa iweje aidhinishwe kuichezea Yanga tena kuwa kupiga kura na wajumbe wa kamati?? Sheria inasemaje?? Hivi kama haya yanaonekana dhahiri mwanzoni hata ligi bado haijaanza je! Uko mbele itakuwaje? Au ndo yale ya refa Oden Mbaga kuchezesha mechi 3 mfululizo zinazoihisisha Yanga tena pale taifa 2! naunga mkono mkutano mkuu uitishwe tupate baraka za wanachama tukafungue kesi ktk mahakama ya kiraia ili tff itufungie na fifa iwafungie tff ili tuanze upya. Othawise tukikata rufaa kwa kamati hiyohiyo ya mgongolwa mambo yatakuwa yaleyale 2.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
umeishia darasa la ngapi,na familia yenu inanufaika na wewe japo kimawazo?
 
umeishia darasa la ngapi,na familia yenu inanufaika na wewe japo kimawazo?

Labda nikuulize nawe pia kwa maneno yako haya familia yako ata usipokuwepo ina-kumisi kweli!!!? Maana unauliza maswali yasiyo na kichwa wala miguu
 
Toa mawazo sio kushambulia mtu aliyetoa mawazo yake
 
Labda nikuulize nawe pia kwa maneno yako haya familia yako ata usipokuwepo ina-kumisi kweli!!!? Maana unauliza maswali yasiyo na kichwa wala miguu

Swali alilouliza ni la msingi ila kwa kuwa hujaelewa au una akili kama za Rage hutaelewa. Kwani Simba ina mchezaji mmoja?

Leo hii ndio mnajua kanuni, eti? Wakati Azam inapokwa points zake msimu uliopita na kuambiwa irudie mechi kwa makosa ambayo si yao hamkuona taratibu zimekosewa?

Mwaka wenu huu, mtanuna mpk muote vigimbi kwenye moyo muwasumbue madaktari kwa operesheni za roho
 
Saa nyingine tumia walahu momemnt of silence kutafakari ili usionekane mjinga na kituko mbele za watu, Simba jana imecheza na Azzam mechi ya Ngao ya hisani kuashilia uzinduzi wa ligi kuu sasa wewe sijui nikusaidiaje ili utoke usingizini!!??
 
Simba bora tujitoe...maana haya mambo hata ligi kuu ya england wakati inaitwa division palikuaga na mambo kama haya na baadhi ya timu zikajitoa na kuanzisha ligi nyingine iliyoitwa barclays premier league ambayo mpaka leo ndio league maarufu duniani............tuwaachie tff na yanga waendelee na ligi yao
 
Simba bora tujitoe...maana haya mambo hata ligi kuu ya england wakati inaitwa division palikuaga na mambo kama haya na baadhi ya timu zikajitoa na kuanzisha ligi nyingine iliyoitwa barclays premier league ambayo mpaka leo ndio league maarufu duniani............tuwaachie tff na yanga waendelee na ligi yao
ok! na nyie anzisheni baclayz premier leag ya timu mbili,simba b,na simba ya wakubwa,refa awe rage
 
Simba bora tujitoe...maana haya mambo hata ligi kuu ya england wakati inaitwa division palikuaga na mambo kama haya na baadhi ya timu zikajitoa na kuanzisha ligi nyingine iliyoitwa barclays premier league ambayo mpaka leo ndio league maarufu duniani............tuwaachie tff na yanga waendelee na ligi yao

Yaani hata namna yako ya uzungumzaji ni sifuri. Eti timu zilijitoa na kuunda ligi nyingine ikaitwa Barclays. Kwa hiyo benki iliomba jina la ligi ilitumie au?

Wote mna akili za kisomali
 
Swali alilouliza ni la msingi ila kwa kuwa hujaelewa au una akili kama za Rage hutaelewa. Kwani Simba ina mchezaji mmoja?

Leo hii ndio mnajua kanuni, eti? Wakati Azam inapokwa points zake msimu uliopita na kuambiwa irudie mechi kwa makosa ambayo si yao hamkuona taratibu zimekosewa?

Mwaka wenu huu, mtanuna mpk muote vigimbi kwenye moyo muwasumbue madaktari kwa operesheni za roho
asnte kwa kumuelewesha.Ndo mana nilikuw a na wasiwasi na uwezo wake wa kufikiri:A S 101:
 
Kweli soka letu litazidi kurudi na kamwe halitasonga mbele. No wonda kila siku tunazidi kudidimia ktk viwango wa fifa. Inatia aibu na haiingii akilini kamati ya sheria ya tff kutofuata sheria na kanuni walizoziweka wenyewe. Yondani amesini mikataba miwili iko dhahiri kabisa iweje aidhinishwe kuichezea Yanga tena kuwa kupiga kura na wajumbe wa kamati?? Sheria inasemaje?? Hivi kama haya yanaonekana dhahiri mwanzoni hata ligi bado haijaanza je! Uko mbele itakuwaje? Au ndo yale ya refa Oden Mbaga kuchezesha mechi 3 mfululizo zinazoihisisha Yanga tena pale taifa 2! naunga mkono mkutano mkuu uitishwe tupate baraka za wanachama tukafungue kesi ktk mahakama ya kiraia ili tff itufungie na fifa iwafungie tff ili tuanze upya. Othawise tukikata rufaa kwa kamati hiyohiyo ya mgongolwa mambo yatakuwa yaleyale 2.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Hata mimi naunga mkono tujitoe maana hiyo mi Yanga ilivyo fiti inaweza ikatuchinja uwanjani,we jana tu wana lamba lamba wametutoa jasho la pua
 
Kweli soka letu litazidi kurudi na kamwe halitasonga mbele. No wonda kila siku tunazidi kudidimia ktk viwango wa fifa. Inatia aibu na haiingii akilini kamati ya sheria ya tff kutofuata sheria na kanuni walizoziweka wenyewe. Yondani amesini mikataba miwili iko dhahiri kabisa iweje aidhinishwe kuichezea Yanga tena kuwa kupiga kura na wajumbe wa kamati?? Sheria inasemaje?? Hivi kama haya yanaonekana dhahiri mwanzoni hata ligi bado haijaanza je! Uko mbele itakuwaje? Au ndo yale ya refa Oden Mbaga kuchezesha mechi 3 mfululizo zinazoihisisha Yanga tena pale taifa 2! naunga mkono mkutano mkuu uitishwe tupate baraka za wanachama tukafungue kesi ktk mahakama ya kiraia ili tff itufungie na fifa iwafungie tff ili tuanze upya. Othawise tukikata rufaa kwa kamati hiyohiyo ya mgongolwa mambo yatakuwa yaleyale 2.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums


afu mishabiki ya simba bana, yaan inapelekwa mputa mputa na rage kama nini??
 
ok! na nyie anzisheni baclayz premier leag ya timu mbili,simba b,na simba ya wakubwa,refa awe rage

wanatimu yao nyingine inaitwa azam itawafaa wakishirikisha kwenye hyo ligi yao
 
Kweli soka letu litazidi kurudi na kamwe halitasonga mbele. No wonda kila siku tunazidi kudidimia ktk viwango wa fifa. Inatia aibu na haiingii akilini kamati ya sheria ya tff kutofuata sheria na kanuni walizoziweka wenyewe. Yondani amesini mikataba miwili iko dhahiri kabisa iweje aidhinishwe kuichezea Yanga tena kuwa kupiga kura na wajumbe wa kamati?? Sheria inasemaje?? Hivi kama haya yanaonekana dhahiri mwanzoni hata ligi bado haijaanza je! Uko mbele itakuwaje? Au ndo yale ya refa Oden Mbaga kuchezesha mechi 3 mfululizo zinazoihisisha Yanga tena pale taifa 2! naunga mkono mkutano mkuu uitishwe tupate baraka za wanachama tukafungue kesi ktk mahakama ya kiraia ili tff itufungie na fifa iwafungie tff ili tuanze upya. Othawise tukikata rufaa kwa kamati hiyohiyo ya mgongolwa mambo yatakuwa yaleyale 2.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kabla haujanza kutoa hukumu, lingekuwa jambo la busara sana kama kwanza unge-take trouble ya kusoma kanuni na taratibu za usajili zinasemaje.

Kama hujazisoma hizo kanuni na hivyo huzijui, unahitajika kubadili maudhui ya thread yako ili liwe swali na wanaojua watakuelimisha. As simple as that!
 
juzi juzi kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ilishutumiwa kwa kuweka ushabiki badala ya kufata kanuni.Maamuzi yaliyotolewa kuhusu utata wa usajili wa wachezaji kelvin yondani na Mbuyi Twite kwa kiasi kikubwa yameonyesha huenda madai hayo yana ukweli ndani yake.Kelvin aliidhinishwa kuchezea yanga na simba kuambiwa waende polisi ili kuthibitisha uhalali wa sahihi yake lakini wakati wa mashindano ya kagame Tff walimuidhinisha kuchezea yanga kwa madai mkataba aliosaini simba unaonyesha unaanza kutumika desemba 2012 kwanini tff wanakuwa na kauli mbili tofauti lakini kama wamewaambia simba waende polisi wao wamethibitishaje kwamba sahihi iliyopo siyo ya yondani.Pia yanga wameambiwa walipe pesa ambazo simba ilimpatia mbuyi twite wakati inajulikana kabisa aliyepokea pesa ni Twite wala siyo yanga hii inazidi kuishushia heshima kamati za tff na kuwafanya wapenzi wa soka wapoteze imani na chombo hicho
 
Hivi Manji huwa anazungumza na vile vijizee vya yanga lugha gani?
 
Kunya anaye kuku akinya bata kaharisha!
Msimu ulioisha Rage ndio alikuwa wa kwanza kuwashawishi Coastal Union wakate rufaa dhidi ya Yanga kwa kumchezesha Cannavaro katika mnchezo wa Tanga!

Rage alijitolea kulisimamia hilo mapema mara tu baada ya mechi na kupewa muda wa kuongea na Redio Cloudz juu ya sheria za ligi kuu, hatua iliyopelekea kesho yake Rage na Makamu mwenyekiti wa Azam kuitisha kikao cha ghafla cha kamati ya ligi na kuipoka Yanga point3.

Hapop wanamsimbazi walifurahia sana pamoja na Azam kwa kuikomoa Yanga!

Sasa leo Mgongolwa kuwaidhinisha Yondani na Twite kuchezea Yanga ndio kunaifanya Simba itangaze kuhama ligi kuu na kuhama Zanzibar?

Rage alichemsha katika kusajili hivyo lawama msimpe Mgongolwa, kaeni mjipange upya
 
Yondani amesini mikataba miwili iko dhahiri kabisa iweje aidhinishwe kuichezea Yanga tena kuwa kupiga kura na wajumbe wa kamati??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ulikuwepo kwenye hicho kiakao? Mbona Simba mna majungu na taarifa za kiudaku udaku zisizo na uthibitisho?? au ndo yale yale ya kina Crashwise eti Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka ndani ya shirikisho la soka nchini.... acheni udaku mnadanganywa na msomali ninyi.
 
Back
Top Bottom