adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,896
- 5,258
Kweli soka letu litazidi kurudi na kamwe halitasonga mbele. No wonda kila siku tunazidi kudidimia ktk viwango wa fifa. Inatia aibu na haiingii akilini kamati ya sheria ya tff kutofuata sheria na kanuni walizoziweka wenyewe. Yondani amesini mikataba miwili iko dhahiri kabisa iweje aidhinishwe kuichezea Yanga tena kuwa kupiga kura na wajumbe wa kamati?? Sheria inasemaje?? Hivi kama haya yanaonekana dhahiri mwanzoni hata ligi bado haijaanza je! Uko mbele itakuwaje? Au ndo yale ya refa Oden Mbaga kuchezesha mechi 3 mfululizo zinazoihisisha Yanga tena pale taifa 2! naunga mkono mkutano mkuu uitishwe tupate baraka za wanachama tukafungue kesi ktk mahakama ya kiraia ili tff itufungie na fifa iwafungie tff ili tuanze upya. Othawise tukikata rufaa kwa kamati hiyohiyo ya mgongolwa mambo yatakuwa yaleyale 2.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums