mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
Wakati umefika sasa wa serikali kusikia kilio cha walimu cha miaka nenda rudi. Nakubali kwa asilimia zote kwamba walimu nao wagome. Haiwezekani mwalimu wa degree alipwe sana na mwenye certificate katika kada zingine! Hapana enough is enough! Solidality forever.