Waalimu acheni unafiki wa kuamua mambo yanayohusu maisha haiwezekani mwalimu wa degree anamshahara sawa na nesi wa certificate wanaishi nchi moja, mkoa moja, wilaya moja , kata mmoja na kijiji kimoja wananunua vitu kwa bei inayofana .HUU NI WAKATI WA KUAMKA AMASIVYO WASEME MADACTARI WANASHERIA NA WENGINE WAMEFUNDISHWA NA NANI? NAUNGA MKONO MGOMO.