Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,058
- 134,395
Naunga mkono hoja ya Magori. Bajeti nzima iwekwe wazi, mwekezaji, wanachama mashabiki na wapenda soka tuchangie ujenzi wa uwanja
Updates
Rais wa Simba Sc ameitika na kuahidi kuchangia bilioni 2. Wanachama tunatakiwa tumjibu kwa vitendo. Mimi naahidi laki 5
