Naunga Mkono Bunge Kutoonyeshwa Live

Kikao cha bunge ni kikao cha kikazi sio mkutano na waandishi wa habari (press conference).kuna tofauti ya kikao cha kikazi na press conference! Wanaotaka kugeuza bunge kuwa press conference ambamo muda wote waandishi wa habari wamo hawako sahihi

Wabunge wakishakaa na kumaliza kazi ya siku ndio taarifa za yale muhimu ya kazi na matokeo waliyofikia yanawekwa hadharani na maofisa habari wa bunge

Taarifa hizo haziwi na vitu vya kipuuzi kama vile vya mbunge gani amemtukana waziri au mbunge fulani kwa kumwita Kibaka nk.Zinakuwa na zile taarifa muhimu tu za kazi waliyofanya kwenye vikao.

Ikumbukwe pia kuwa Vikao vya kamati za bunge huwa havirushwi Live sababu ni vikao vya kikazi.Na kikao cha bunge ni kikao kikuu cha kikazi sio press conference .Sasa hivi wabunge watafanya kazi barabara kuliko zamani ambapo mara ingine mtu anaomba kuchangia ili tu auze sura kwenye TV aonekane.Wachangiaji unakuta wako msururu wakipigania tu kuonekana!!! Sasa hivi bunge litakuwa na wachangiaji very serious ambao wana hoja za nguvu na si wauza sura kwenye TV

Bunge la Tanzania litakuwa bunge la mfano la kuigwa duniani kwani litatoka na vitu serious vilivyofanyiwa kazi barabara na wabunge serious na habari zitakazotolewa ni zile za HAPA KAZI TU na si zile za mara mbunge kapigwa picha anasinzia bungeni nk


Pia Kazi kuu ya mbunge (Major duty) ni kuleta maendeleo kwenye jimbo lake anakotokea na si kuongeaa sana na kuchonga sana mdomo bungeni na kuanika sura sana kwenye kamera za Televisheni akiwa bungeni.Kuna wabunge majimboni hata kuwaona na kuwakuta ofisini kwao majimboni ni shida.Wao husubiri tu muda ufike wa bunge wachonge midomo na kuuza sura kwenye TV.
Wewe ni mbumbumbu na kwa tabia yako hiyo ya kuendekeza vya kupewa bure utaendelea kuwa mbumbumbu wa kudumu,yaani huwezi kuchagua post gani ya kuchangia kizalendo?
 
Kuna wabunge hawawezi kazi kabisa ila wanajua kupangilia maneno kweli. Wanaishi tu kwenye siasa za live bungeni kwakuzungumza mambo mazito kweli kweli na baadhi ni mahodari wa kudandia Hoja za wenzao.

Ukienda Jimboni kwake wananchi wake wanaishi kwenye dimbwi la umasikini, Hawa wabunge hawajitumi kabisa.

Hawaanzishi vikoba, Hawaanzishi miradi ya manufaa kwa wananchi wao,wana diplomatic passport lakini hwatafuti wafadhiri. Hebu tuwadhibiti kabisa waanze kufanya kazi Majimboni.

Napeeeeee futiilia mbali mbali mambo live wabunge wawe wanashinda kwa wananchi wakiwahudumia.
unaongeaaa au ndo style yako ya kuharisha?
 
Kabla ya kuendelea na mjadala nataka kufahamu unatumia nini kufikiri?kitu kikiwekwa wazi ina watu wanakifahamu na hata wananchi na viongozi wanaweza kuanza ufuatiliaji, lakini kitu kikijadiliwa kwa kufichwa fichwa hata kisipotekelezwa ni nani atakayefahamu?
Itoshe tu kusema kuwa anatumia masaburi!
 
KWANZA NANI ANAKAA KUTWA NZIMA AKIANGALIA BUNGE NI BORA TUWE WAKWELI.HAWA JAMAA WAMEKOSA HOJA SASA WAMESHIKILIA HAPO HAPO ILI WANANCHI WAWAHURUMIE.KAMA KWELI TUNATAKA KUFANYA KAZI
AGENDA HIYO HAINA MSHIKO.WANAOANGALIA WENGI NI WA WALE KULA KULALA WACHAPAKAZI WENGI HUANGALIA USIKU
Wananchi siye ndiyo tulio wachagua na tunahitaji kuangalia bunge,nyinyi endeleeni kufuata upepo lkn wabunge wenu watakacho kikuta huku majimboni ndio watajua kuwa bora wangelikubali waonekane bungeni kuliko kuficha huo ujinga wao wa kukata mauno
 
Kujua mbunge anayetetea maendeleo ya jimbo lake kaangalie jimboni kwake usimwangalie sura yake bungeni akiongea kwa uchungu wa kutunga na machozi ya kitapeli.Maendeleo yaliyoko bungeni ndio kionyeshaji wazi kuwa mbunge anatetea maendeleo jimboni.
Hii shule ni mojawapo ya shule iliyopo jimboni mwa nape huko mtama mkoani lindi
1461559466971.jpg
 
Sa
Kuna wabunge hawawezi kazi kabisa ila wanajua kupangilia maneno kweli. Wanaishi tu kwenye siasa za live bungeni kwakuzungumza mambo mazito kweli kweli na baadhi ni mahodari wa kudandia Hoja za wenzao.

Ukienda Jimboni kwake wananchi wake wanaishi kwenye dimbwi la umasikini, Hawa wabunge hawajitumi kabisa.

Hawaanzishi vikoba, Hawaanzishi miradi ya manufaa kwa wananchi wao,wana diplomatic passport lakini hwatafuti wafadhiri. Hebu tuwadhibiti kabisa waanze kufanya kazi Majimboni.

Napeeeeee futiilia mbali mbali mambo live wabunge wawe wanashinda kwa wananchi wakiwahudumia.
Sasa kaka ukiwa wapo live unasema wanadandia hoja za wenzao na hawajafanya chochote majimboni mwao ILA sibora alivyodandia hiyo hoja ya mwenzie maana hata yeye ameongea na ukiona amedandia ujue hata yeye jimbon kwake kunatatzo Hilo Hilo kuliko kukaa kimya.
Na akija jimbon anasema niliongea kweli aliongea kuliko tusipo ona kabisa na anaweza kuja jimbon akasema bunge limepitisha kumbe haijaongelewa.
Watanzania tutumie akili wasipo rusha bunge Ni kutunyima uhuru WA habari na kibaya zaid tunarudi nyuma.
Tusiwe mazuzu hebu fikiria vizuri habari ya Jana unaipata Leo kweli wakati sasa hivi dunia Ni kijiji tukio linatokea marekan dakika tano tuu tumelipata ndio iwe habari ya hapa hapa nyumbani kweli.
Alafu pia kufanya hivi Ni kutuondoa kwenye hali ya kufatilia maendeleo yetu wenyewe.
 
Utajuaje mbunge wako anapambana bungeni kama bunge alirushwi live utajuaje mbunge wako kama anapambania miradi mikubwa ifike jimboni mwake bila bunge kurushwa live wewe huo U-DC unaoutafuta huto upata huu muhimili uachwe ufanye kazi wenyewe usiingiliwe Na serikali
 
Kikao cha bunge ni kikao cha kikazi sio mkutano na waandishi wa habari (press conference).kuna tofauti ya kikao cha kikazi na press conference! Wanaotaka kugeuza bunge kuwa press conference ambamo muda wote waandishi wa habari wamo hawako sahihi

Wabunge wakishakaa na kumaliza kazi ya siku ndio taarifa za yale muhimu ya kazi na matokeo waliyofikia yanawekwa hadharani na maofisa habari wa bunge

Taarifa hizo haziwi na vitu vya kipuuzi kama vile vya mbunge gani amemtukana waziri au mbunge fulani kwa kumwita Kibaka nk.Zinakuwa na zile taarifa muhimu tu za kazi waliyofanya kwenye vikao.

Ikumbukwe pia kuwa Vikao vya kamati za bunge huwa havirushwi Live sababu ni vikao vya kikazi.Na kikao cha bunge ni kikao kikuu cha kikazi sio press conference .Sasa hivi wabunge watafanya kazi barabara kuliko zamani ambapo mara ingine mtu anaomba kuchangia ili tu auze sura kwenye TV aonekane.Wachangiaji unakuta wako msururu wakipigania tu kuonekana!!! Sasa hivi bunge litakuwa na wachangiaji very serious ambao wana hoja za nguvu na si wauza sura kwenye TV

Bunge la Tanzania litakuwa bunge la mfano la kuigwa duniani kwani litatoka na vitu serious vilivyofanyiwa kazi barabara na wabunge serious na habari zitakazotolewa ni zile za HAPA KAZI TU na si zile za mara mbunge kapigwa picha anasinzia bungeni nk


Pia Kazi kuu ya mbunge (Major duty) ni kuleta maendeleo kwenye jimbo lake anakotokea na si kuongeaa sana na kuchonga sana mdomo bungeni na kuanika sura sana kwenye kamera za Televisheni akiwa bungeni.Kuna wabunge majimboni hata kuwaona na kuwakuta ofisini kwao majimboni ni shida.Wao husubiri tu muda ufike wa bunge wachonge midomo na kuuza sura kwenye TV.
kwani umelazimishwa kuangalia acha sisi wengine tuangalie tujue nani anasinzia bungeni na nani anatuwakilisha ipasavyo
wanaotetea bunge lisionyweshe live ni interahamwe kama wewe hamna uchungu na nchi yetu,hawajamaa ukiwafungia bila kuwaonyesha watapiga dili sana mpaka wanaweza kutuuza na sisi
 
Ni kawaida kabisa kuwa ukitumia hivi vitu ni lazima akili zako zipungue kwa kasi ya ajabu.....UGORO. ..KIMPUMU. ...WANZUKI....VIROBA
Joseph Haule kapeleka mabomba ya maji jimboni lakini unanitukana bure tu.
 
kwani umelazimishwa kuangalia acha sisi wengine tuangalie tujue nani anasinzia bungeni na nani anatuwakilisha ipasavyo
wanaotetea bunge lisionyweshe live ni interahamwe kama wewe hamna uchungu na nchi yetu,hawajamaa ukiwafungia bila kuwaonyesha watapiga dili sana mpaka wanaweza kutuuza na sisi

Hii serikali ni Hapa Kazi tu mbona Lugumi kila mtu anaijua lakini haijaongewa bungeni?
 
kwani umelazimishwa kuangalia acha sisi wengine tuangalie tujue nani anasinzia bungeni na nani anatuwakilisha ipasavyo
wanaotetea bunge lisionyweshe live ni interahamwe kama wewe hamna uchungu na nchi yetu,hawajamaa ukiwafungia bila kuwaonyesha watapiga dili sana mpaka wanaweza kutuuza na sisi
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, kweli mkuu hawa wanaweza kutupiga mnada bila wenyewe kujijua....salute sana mkuu!!!!
 
Huwa sipendi sana tabia ya mtu kutafuta sababu ya kuhalalisha jambo kwasababu eti na mtu mwingine anafanya hivo .Nape akisema eti nchi nyingi za jumuia ya madola zina bunge studio , kwahiyo kama zina huo utaratibu kwanini haukuwepo zamani .na je hizo nchi zikianza kurusha live mtaanza na nyie kurusha live. Waziri amekosa hoja amebaki anaungaunga maneno tu . mnaficha nini hamjiamini nini serikali y hapa kaz tu . mm nilitegemea bunge live liwaongezee sifa ya utendaji wenu badala yake mnabinya uhuru wa media. Hata hivo wabunge wengi watoa matusi , vijembe na viroja n wale wa kutoka upande ndiooo nyingi hususani pale wanapozidiwa hoja na upinzani .nahisi hii ndio sababu kuu ya kuzuia kwa kukwepa aibu ukizingatia wapinzan wameongezeka bungeni wanaogopa kupelekeshwa maana this time nguvu ya upinzani n maradufu ya awamu iliyopita na tumeshuhudia upinzani ukiibuia hoja zenye mashiko ,kufichua ufisadi na kutetea wananchi jambo ambalo magamba sio agenda yao kutetea wananchi .
 
Utajuaje mbunge wako anapambana bungeni kama bunge alirushwi live utajuaje mbunge wako kama anapambania miradi mikubwa ifike jimboni mwake bila bunge kurushwa live wewe huo udc unaoutafuta huto upata huu muhimili uachwe ufanye kazi wenyewe usiingiliwe Na serikali
Mkuu pamoja na mapungufu ya kikwete lkn angalau kwenye hili alikuwa flexible
 
Utajuaje mbunge wako anapambana bungeni kama bunge alirushwi live utajuaje mbunge wako kama anapambania miradi mikubwa ifike jimboni mwake bila bunge kurushwa live wewe huo udc unaoutafuta huto upata huu muhimili uachwe ufanye kazi wenyewe usiingiliwe Na serikali

Tunataka Wabunge wasioleta maendeleo majimboni. Wananchi tuwahukumu majimboni maana kunawabunge wanachaguliwa kwa umaarufu tu hawafanyi kazi kabisa.
 
Kuna wabunge hawawezi kazi kabisa ila wanajua kupangilia maneno kweli. Wanaishi tu kwenye siasa za live bungeni kwakuzungumza mambo mazito kweli kweli na baadhi ni mahodari wa kudandia Hoja za wenzao.

Ukienda Jimboni kwake wananchi wake wanaishi kwenye dimbwi la umasikini, Hawa wabunge hawajitumi kabisa.

Hawaanzishi vikoba, Hawaanzishi miradi ya manufaa kwa wananchi wao,wana diplomatic passport lakini hwatafuti wafadhiri. Hebu tuwadhibiti kabisa waanze kufanya kazi Majimboni.

Napeeeeee futiilia mbali mbali mambo live wabunge wawe wanashinda kwa wananchi wakiwahudumia.
Naunga mkono hoja
 
WE KILAZA KWELI,, SO WE UTAJUAJE KM MBUGE WAKO ANATETEA MAENDELEO JIMBONI KWAKO BILA KUANGALIA BUNGE.
Kwani likiwa recorded huwezi kuangalia? Kama wewe ni mfuatiliaji huwezi kupitwa hata kama bunge halipo live, enzi hizi si kama zamani, kupata habari ni rahisi, na ndiyo maana wabunge wa upinzani waliposusia kikao cha bunge tulijua hata kama hawakuwa live.
 
Kikao cha bunge ni kikao cha kikazi sio mkutano na waandishi wa habari (press conference).kuna tofauti ya kikao cha kikazi na press conference! Wanaotaka kugeuza bunge kuwa press conference ambamo muda wote waandishi wa habari wamo hawako sahihi

Wabunge wakishakaa na kumaliza kazi ya siku ndio taarifa za yale muhimu ya kazi na matokeo waliyofikia yanawekwa hadharani na maofisa habari wa bunge

Taarifa hizo haziwi na vitu vya kipuuzi kama vile vya mbunge gani amemtukana waziri au mbunge fulani kwa kumwita Kibaka nk.Zinakuwa na zile taarifa muhimu tu za kazi waliyofanya kwenye vikao.

Ikumbukwe pia kuwa Vikao vya kamati za bunge huwa havirushwi Live sababu ni vikao vya kikazi.Na kikao cha bunge ni kikao kikuu cha kikazi sio press conference .Sasa hivi wabunge watafanya kazi barabara kuliko zamani ambapo mara ingine mtu anaomba kuchangia ili tu auze sura kwenye TV aonekane.Wachangiaji unakuta wako msururu wakipigania tu kuonekana!!! Sasa hivi bunge litakuwa na wachangiaji very serious ambao wana hoja za nguvu na si wauza sura kwenye TV

Bunge la Tanzania litakuwa bunge la mfano la kuigwa duniani kwani litatoka na vitu serious vilivyofanyiwa kazi barabara na wabunge serious na habari zitakazotolewa ni zile za HAPA KAZI TU na si zile za mara mbunge kapigwa picha anasinzia bungeni nk


Pia Kazi kuu ya mbunge (Major duty) ni kuleta maendeleo kwenye jimbo lake anakotokea na si kuongeaa sana na kuchonga sana mdomo bungeni na kuanika sura sana kwenye kamera za Televisheni akiwa bungeni.Kuna wabunge majimboni hata kuwaona na kuwakuta ofisini kwao majimboni ni shida.Wao husubiri tu muda ufike wa bunge wachonge midomo na kuuza sura kwenye TV.
"Unataka uonekane live kwani unatafuta mchumba? "
Juma nkamia (mb)
 
Back
Top Bottom