Naumwa tonsils nimepewa Azuma

Naumwa tonsils nimepewa Azuma

Oi wataalam wa mambo. Nimeenda famasi kununua dawa ya tonsezi cha ajabu nimepewa AZUMA - 250

Kinacho nipa hofu ni kwamba kupitia uzi wa kula kimasihala niliona hizi wadau walitumia kujitibu kisonono na kaswande vipi wakuu huyu dada alie nipa hizi yupo sawa?
Huyo mfamasia anataka akuponye fungus kwanza ili umle kimasihara, hzo tonses atadili nazo baada ya mechi
 
Back
Top Bottom