Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,042
- 16,042
i wanna cut it out
i think this is the best option you can have.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i wanna cut it out
Hata mi naumwa sana. .
Pole bana.
hivi ukisema unaumwa halafu mtu akakugongea "like" anamaanisha nini?
Maendeleo yako ndani ya jiji ni vipi? Umefanikiwa kuonana na Rejao?ame-like kitendo chako cha kutoa taarifa!wengine wanaumwa mpaka wanakufa kimyakimya bila kutoa taarifa!kakabakabanana usiogope hautakufa!
Pole sana Kaby!Sijalala mpaka saa hizi,na usingizi lakini maumivu yamezidi.,Tuombeane kheri,
Pole sana Kaby, hebu nipe maendeleo yako kabla sijakufungia safari kukuletea dozi.Nimeamshwa kupewa dawa,,tumbo limenisumbua usiku mzima.,Al be okay,Jesus died for my pain i knw.I love u all friends!
nimetoka hospitali nimepima nimeambiwa na typhoid nimepewa dawa na nimechoma sindano angalau na matumaini sasa lakini tumbo bado linaniuma sana, ahsante babuPole sana Kaby, hebu nipe maendeleo yako kabla sijakufungia safari kukuletea dozi.
nimetoka hospitali nimepima nimeambiwa na typhoid nimepewa dawa na nimechoma sindano angalau na matumaini sasa lakini tumbo bado linaniuma sana, ahsante babu
Hata mi naumwa sana. .
Pole bana.
Yaani kabakabana mpaka simu uka-divert kituo cha police kilicho karibu na wewe
Napiga inaita tuuuuu afadhari nimekuona hapa.. salama iko