Naumizwa

Naumizwa

muwe na 'make up sex' possibly iwe better kuliko aliyofata gest,
 
Nimemkuta mke wangu gesti na mwanaume mwingine tar.23.01.2013 hadi leo sijamuuliza na niko naye kama kawaida nimfanyeje?naombeni ushauri wenu.

Inamana bado mnabanjuana tu!

What if huko gest, jamaa alikua anamfumua malinda! afu we hujawahi pewa!??
 
Bado mnanishauri harusi...hamuwezi kuwa hamjalewa. #badoniponiposana

Mapenzi ya kweli na kutodanganyana yapo Mentor. Na huwa ni matamu sana, cha muhimu ni kuhakikisha humuachi Mungu kwenye haya mapenzi yenu na msifocus sana kwenye mambo ya mwili. Find a sustainable definition of your relationship in God. Nimeshaumizwa vya kutosha na nimejifunza mengi kupitia hayo, lakini sijapoteza tumaini la mapenzi ya kweli.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Mapenzi ya kweli na kutodanganyana yapo Mentor. Na huwa ni matamu sana, cha muhimu ni kuhakikisha humuachi Mungu kwenye haya mapenzi yenu na msifocus sana kwenye mambo ya mwili. Find a sustainable definition of your relationship in God. Nimeshaumizwa vya kutosha na nimejifunza mengi kupitia hayo, lakini sijapoteza tumaini la mapenzi ya kweli.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Waonyesha u muumini mzuri wa T D Joshua..when the rope sijui nini hold on to hope..!!!

Well, sijui ila bado sana...giving myself sometime to heal n enjoying being single..ts fun at times!!!!
 
Duuu!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Fanya moja kati ya haya, potezea habari hiyo au mtimue. Angalia moyo wako unakuambia nini!
 
Msamehe na usahau.ipo siku atakusamehe na wewe utakapoteleza
 
Na huwezi jua huko gest alienda kufanyaje, pengine ht hakukusaliti!!!!!!!!!!!
nakushauri uvunje ukimya uzungumze nae.
 
Kaka umechelewa sana kumwuliza ,, mmmh unatutisha isijekuwa ndo kisha weka dawa ya kukufanya mme -----!!! Wanajanvi waganga wa kienyeji ndo nyumba zao labda alitoka kupika dawa jombaa!!!
 
hakuna kitu kinaumiza kama kukaa na kitu moyoni...si umweleze tu umsikie atasemaje then muongee yaishe coz hakuna binadamu ambaye ni mkamilifu..huwezi jua kwanini amefanya hivyo vunja ukimya weka hasira pembeni.......kumbuka neno la Mungu linasema mwenzako akikukosea samehe saba mara sabini.....msamehe tu muanze upya.
 
Ongea nae kwa mifano na wala usioneshe ku-panic ili akimbie mwenyewe. Mwambie tarehe fulani niliitwa maeneo fulani ( itaje sehemu ya jirani na guest) , na nilipofika nilifadhaika sana na kitu nilichoshuhudia maeneo hayo. Na mpaka leo bado natafakari hatua za kuchukua ( kuwa mpole unapoongea hayo huku ukimwangalia usoni) , then maliza kwa kumuambia ukishapata jawabu utamshirikisha - ila kwa sasa awe mpole kwanza.
 
Umemfuma live na akapata ujasiri wa kurudi home.....mweeeeh mm nikifumaniwa naenda moja kwa moja kwetu kwa wazazi wangu kusubiri talaka....mambo ya kuchinjwa kimya kimya siyataki........au amezoea kukufumania ndo analipiza?
 
Ongea nae kwa mifano na wala usioneshe ku-panic ili akimbie mwenyewe. Mwambie tarehe fulani niliitwa maeneo fulani ( itaje sehemu ya jirani na guest) , na nilipofika nilifadhaika sana na kitu nilichoshuhudia maeneo hayo. Na mpaka leo bado natafakari hatua za kuchukua ( kuwa mpole unapoongea hayo huku ukimwangalia usoni) , then maliza kwa kumuambia ukishapata jawabu utamshirikisha - ila kwa sasa awe mpole kwanza.

Mmmmh nilivomuoga ukisema tu haya maneno dk chache zijazo nasepa kwetuuuu...nini cha kufia na pressure za moyo...
 
Muulize...........unamuumiza zaid,kukaa kimya siku zote tayar umemuadhibu.
 
[MENTION]Jaju[/MENTION] natumaini unamkimbia kimwili ili usipate magonjwa, pia unapozidi kukaa kimya je unafanya maamuzi ya kuamua nini unataka kufanya au? Pole sana hii kitu inaumiza roho sana tena sana. Ila omba Mungu akuongoze ili usije fanya kitu cha kuja kujutia na kujikuta unajiaribia mwenyewe maisha yako as wengi wenye kukaa kimya uishia kubaya wakiamua kufunguka.

Mna watoto na ndio maana bado pia upo kimya? ila jua unavyonyamaza na yeye anazidi kuendeleza. Je pia ulishamaliti na ndio ameamua kuwa na nje?

Jinsi ambavyo hautuelezi mengi humu inaonekana kama imekuwa shock kubwa labda ulimwamini sana as wengine kwa wake zao wanakuwa hawashangai sanaaaa kwa jinsi tabia zao zilivyo majumbani mwao.
 
Nimemkuta mke wangu gesti na mwanaume mwingine tar.23.01.2013 hadi leo sijamuuliza na niko naye kama kawaida nimfanyeje?naombeni ushauri wenu.
Pole sana mkuu.nakushauri uachane naye.kwakuwa ataendelea kukusaliti.
 
Back
Top Bottom