Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Bado mnanishauri harusi...hamuwezi kuwa hamjalewa. #badoniponiposana
Bado mnanishauri harusi...hamuwezi kuwa hamjalewa. #badoniponiposana
duuuh!kwanza pole kwa maumivu!
pili utakufa kwa kihoro bora umuulize
akudanganye maumivu yatapungua!
Nimemkuta mke wangu gesti na mwanaume mwingine tar.23.01.2013 hadi leo sijamuuliza na niko naye kama kawaida nimfanyeje?naombeni ushauri wenu.
niliitwa kushuhudia na watu wema kwangu
Nimemkuta mke wangu gesti na mwanaume mwingine tar.23.01.2013 hadi leo sijamuuliza na niko naye kama kawaida nimfanyeje?naombeni ushauri wenu.
Nimemkuta mke wangu gesti na mwanaume mwingine tar.23.01.2013 hadi leo sijamuuliza na niko naye kama kawaida nimfanyeje?naombeni ushauri wenu.
maumivu ya hivyo ni...umeamini kwamba huyu dogo anaumizwa... Eti haja mwuliza mpaka leo.. Haiwezkani ki halisia
pole sana, nakushauri kaa kimya hivyohvyo en am tellng you atajifunza na hata rudia kamwe!! Hiyo ndiyo silaha pekee kama bado unampenda kwa dhati
Mpe ile kitu alikifata gesti...Nimemkuta mke wangu gesti na mwanaume mwingine tar.23.01.2013 hadi leo sijamuuliza na niko naye kama kawaida nimfanyeje?naombeni ushauri wenu.