duh hapana aisee nisijedata na bitiZama nae pm zen utuletee mlishonyuma
duh hapana aisee nisijedata na biti
weee kuna maeneo lazima niwe dhaifu.. kasha sema kipato kipo me nikwenda kuuliza tu unaingiza sh ngapi kama yupo mule mule kwa nini nikataeHaha...kumbe we dhaifu..bora usiende..usije ukarudi na mimba
mkuu itabidi nimtafute hii hali inaniumiza sana kichwa inafika kipindi ninahisi nina gundu kitu ambacho sitaki kukiaminiMkuu mtafute muombe kwanza msamaha.....haya maneno kamwambie ayajue kabisa....huenda hajakusahau na bado unamuumiza sana!
....Ila kwanin umchezee na kumtafutia sababu mtt wa mwenzio, km humpend si unamwambia tu.
ahsante mkuu kwa ushauri wakoPole, hiyo ni lana ya yule msichana uliyomuacha bila kosa lolote, sio tu kwa sababu ulitoausichanawake hapana. Ni
vile ukumwamba ukweli, wewe baada yakumchoka ukaanza vituko vyako. ungemwambia ukweli usingepata lana yake.
kuna laana nyingi, ya wazazi ya mke n.k. rudi ukamweleze kwamba yeye hakukosea ila ulimchoka tuu. utaona mambo yako yatakuwa poa.
kana ka sngu
nipo vizuri kwa upande wa swaga hilo sina shaka nalo kipato angalau kina ridhisha kinachoweza kunifanya nipate mwanamke standard naumia sana hilo linapo shindikanaLabda utupie ka clip jinsi unavyotongoza mkuu.. unaweza kuwa huna swaga ila unajiona unaswaga.....
unaweza kuwa unafuata mademu siyo level yako nikiwa na maana ya kuwa kipato chako hakina mvuto..
sasa jiangalie tena
tongoza wa adhi yakonipo vizuri kwa upande wa swaga hilo sina shaka nalo kipato angalau kina ridhisha kinachoweza kunifanya nipate mwanamke standard naumia sana hilo linapo shindikana
HahahaaaaaOmba Mungu Wasira apitishwe atakushauri vizuri sana coz alishapatwa na janga kama lako na amelitatua, si umemwona first lady wako!!!!!