Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,100
KAMA UNATAKA KUOA SAWA, LKN KAMA KUWACHEZEA ACHA, MAANA NAONA UKIMWI NA MAUTI IPO JUU YAKO KWA JINA LA YESU KRISTO,Amen
Pole sana kaka,naamini wewe bado hujajua unataka nini,muombe Mungu akusamehe then uombe akufungulie ujue unachokitaka,Inaweza kuwa hitaji lako ndo huyo uliemtosa..
Wakati nipo chuoni kuna mkaka nae alinifanyia kama wewe ila mimi nilimsamehe kabisa ila siwez kumtrust tena na ana miaka miwili anatuma married proposal kaz yangu ni kureject.Nimekutolea huu mfano kukuonyesha kuwa usipotubu hautokuwa trusted maisha yako yote na asikwambie mtu trust huongeza raha ya aina yake kwenye mahusiano yoyote yale.
KAMA UNATAKA KUOA SAWA, LKN KAMA KUWACHEZEA ACHA, MAANA NAONA UKIMWI NA MAUTI IPO JUU YAKO KWA JINA LA YESU KRISTO,Amen
duh! umenikumbusha mbali nilitokewa the same incidence few yrs ago, my hubby that time my boyfriend tupo chuo, akaniingiza ukubwani bwana, mtoto wakike nikaahidiwa mengi ikiwemo ndoa, bf 3rd yr, mi 1st yr, dah, alipograduate ndo akasepa jumla sikujua nampataje nanilishapenda, nililia hakuna mfano chuo skutamani had lecturer akaniita mbona cionekan clas? nikataman nimwambie labda atanibembelezea bf, badae nikarecova nikagraduate afta 2yrs japo roho inaniuma balaa, skupenda tena nikaogopa kutendwa, back 2bf, kumbe alipata gf mpya akaona anikimbie navituko kila aina alinifanyia, hawakudumu nae akaachwa, kila binti alompata hawakudumu karibu 15, anasema alikuwa akitongoza jion kesho yake anakataliwa, ndo akakumbuka alichokifanya kwangu akaja kunililia kama mtoto, nikafungua moyo nikamsamehe, kufika kwake sikuamini chumba cheupe hakuna k2, tukaoana rasmi, leo ni mr &mrs, tumepata watoto, tumejenga mambo yakamnyookea, MTAFUTE UTENGENEZE NAE HATA USIPOMUOA AKUSAMEHE UONDOKANE NA LAANA YA MACHOZI
Asante kakayangu ni mungu tu namakusudi yakePole na hongera kwa uvumilivu na upendo ulojaaliwa nao...
I am a she....Asante kakayangu ni mungu tu namakusudi yake