Naumia sana mchepuko ukifika juu kabisa ya mlima

Wimsha

JF-Expert Member
Dec 8, 2015
518
503
Wakuu naomba msaada wenu.

Mara nyingi roho inaniuma sana ninapoona mchepuko unafika juu ya mlima Kilimanjaro tena kwa mbwembwe na madaha sana. Kuna wengine hufika huko zaidi ya mara moja.

Kinachokera zaidi wengi wao wakishafika huko hawataki tena shughuli ya kupanda mlima. Na wakipanda hupanda ili mradi tu waonanekane wanapanda mlima.

Ilisoteshe invoce nayotakiwa kulipwa iko palepale bila hata discount.

Hili ni tatizo langu tuu au na wengine naomba uzoefu wenu
 
akifika kileleni akiendelea kupanda uoni kama atadondoka .? kuepuka kudondoka ndiyo maana wanaacha kupanda
Hiyo offer ya kufika kileleni kwa nini isipunguze invoice au kuondoa kabisa service charges?
 
Hiyo offer ya kufika kileleni kwa nini isipunguze invoice au kuondoa kabisa service charges?
kufika kilelen inaburn a lot of calories sasa inabidi kuzirudisha .. kwa hiyo invoice inakuwa pale pale
 
yaani umetoka kapa, mi mwenzio nimeingia Dar Kwa Treni long time wewe bado
Kati ya ke na me nani ndio amefika kileleni hapo,,na pale ke anapo lia ndio amefika kitonga? Maana hata dydy sijaanza kuingza demu wangu anaanza kulia ss atakuwa anafika vilele vngapi mwanzo wa show to mwsho vilio tuu
 
Kati ya ke na me nani ndio amefika kileleni hapo,,na pale ke anapo lia ndio amefika kitonga? Maana hata dydy sijaanza kuingza demu wangu anaanza kulia ss atakuwa anafika vilele vngapi mwanzo wa show to mwsho vilio tuu
Kweli we kishumundu
 
Back
Top Bottom