Chibike
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 4,896
- 7,522
Hata simkumbuki jina...ila nikiwa hapa kanisani leo katika kanisa takatifu la kimitume katoliki parokia ya uparokiani Askofu anazungumzia jambo , anasema kua unaweza kua mtu mzima ila akili huna..
Ndio nikakumbuka tukio la mbunge aliechaguliwa Sasa sijui alichaguliwa na wananchi ama aliwekwa, ambaye alibwabwaja sana akaona haitoshi akaamua abinuke Yani makalio yakae juu na miguu juu, juu ya meza za bunge. Hivi yupo ? Mnaoangalia bunge.
Nchi yetu Ina mambo mengi hivyo lazima kama mtanzania uendane na Kasi yake, muhimu uweke bando tu hata ya kukopa ili usipitwe. Tuko parokiani tunavizia vizia tusikie Kauli za maaskofu leo katika mahubiri kama watagusia safari ya Vatican
Tumsifu Yesu Kristu
Ndio nikakumbuka tukio la mbunge aliechaguliwa Sasa sijui alichaguliwa na wananchi ama aliwekwa, ambaye alibwabwaja sana akaona haitoshi akaamua abinuke Yani makalio yakae juu na miguu juu, juu ya meza za bunge. Hivi yupo ? Mnaoangalia bunge.
Nchi yetu Ina mambo mengi hivyo lazima kama mtanzania uendane na Kasi yake, muhimu uweke bando tu hata ya kukopa ili usipitwe. Tuko parokiani tunavizia vizia tusikie Kauli za maaskofu leo katika mahubiri kama watagusia safari ya Vatican
Tumsifu Yesu Kristu