Ni wiki kadhaa tangia mamlaka zitangaze ongezeko la nauli( kulingana na kilometers). Lakini kuna mchezo mchafu unaendelea unaofanywa na makonda na madereva wa daladala ambapo wanapandisha nauli zaidi ya viwango tajwa.
Wananchi wanashindwa kutetea kutokana na kuwa na ufahamu tofauti, unakuta daladala za route moja unapanda unakuta wanatofautiana nauli, mimi ni shahidi tena wengine wana ticket zenye bei mbili tofauti za nauli wakiona unawabishia wanakupa tiketi ya nauli iliyozidi ili usibishe
Serikali iliangalie sababu pamoja na kupanda hizi gharama bado kuna manyanyaso makubwa abiria wanapitia
Baadhi ya route ambazo nimekuwa shahidi ni G/mboto-Mnazi Mmoja Bunju-Sim2000, G/mboto-Kawe, M/rangi3-Mawasiliano, M- rangi3-G-mboto.
Wananchi wanashindwa kutetea kutokana na kuwa na ufahamu tofauti, unakuta daladala za route moja unapanda unakuta wanatofautiana nauli, mimi ni shahidi tena wengine wana ticket zenye bei mbili tofauti za nauli wakiona unawabishia wanakupa tiketi ya nauli iliyozidi ili usibishe
Serikali iliangalie sababu pamoja na kupanda hizi gharama bado kuna manyanyaso makubwa abiria wanapitia
Baadhi ya route ambazo nimekuwa shahidi ni G/mboto-Mnazi Mmoja Bunju-Sim2000, G/mboto-Kawe, M/rangi3-Mawasiliano, M- rangi3-G-mboto.