Asante mkuuOK Kwa Ndege za China Southern Airlines Ni $996
Note: Gharama inaweza kupanda na kushuka kulingana na Promo na Ukataji Wa Ticket
Mh!Nitafute nikusaidie kwa ufafanuzi mzuri.
Muulize baba yako mzaziHivi naweza kupata gari ya moja kwa moja kutoka mbagala mpaka zanzibar? Nauli ni shilling ngapi? Na ninachukua muda gani
Mmmh.. hii round au vipi mkuu? Kampuni ganiKwenda Seoul, south Korea ni m 1.3
Japo sijajib swal ila ni information kwa wengine
Hapo sawa.. nikajua 1.3.Kuna bro anasoma korea ndo aliniambia 2.6 (kwenda na kurudi)
rejeeni comment za wachangiaji huko juu@Mood @Invisible anatakiwa kuanza kutembeza ban kwa wanaozani JF in face book kuna watu comments zao kila mjadala in jokes tu dah hatukatai hata sisi kuna mda huwa tunapuyanga ila tunapuyanga for some reason, mfano Uzi ukiwa hauna maana inabidi ujibu ulivyo sasa hapa MTU ansuliza jambo LA msingi sana MTU ana comment ujinga
Habarini wakuu
Naombeni kujua gharama za kusafiri kutoka Tanzania kwenda China mji wa Guangzhou