babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Bei ya natural gas kwenye soko la dunia leo imeongezeka kwa zaidi ya asilimia 18 peke yake. Hii ni tofauti kubwa sana na fluctuation ya less than 1 percent ambayo imezoleka kwa siku.
Hii imenifanya ni jiulize kuhusu gesi yetu ya Mtwara na Ophir company. Je, sisi tutanufaikaje na ile ongezeko kubwa?
Hii imenifanya ni jiulize kuhusu gesi yetu ya Mtwara na Ophir company. Je, sisi tutanufaikaje na ile ongezeko kubwa?