englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
<button class="modal-btn modal-close js-close" type="button">Close </button>
hahaaa..ujumbe umewafikia
ujumbe umewafikia kina nani?
ujumbe umewafikia kina nani?
Kunyoa inategemea na kichwa na sura.......wengine tukinyoa unaweza sema ni mwanaume jinsi sura zetu zilivyo.....
Asante...hivi haujawahi kukutana na wanawake wana sura kama mwanaume?....kuna mahali ndo nilikuwa naenda kuanza kazi kwa mara ya kwanza...basi kuna mmama amenyoa yani bila kutambulishwa kuwa ni mmama nilijua ni mbaba afu ana sauti ya besi....acha tu...Hakuna Mwanamke Mbaya..... HAPPY WOMEN DAY.....
Hakuna Mwanamke Mbaya..... HAPPY WOMEN DAY.....
Hakuna Mwanamke Mbaya..... HAPPY WOMEN DAY.....
namtetea _________ kwa hiyo kuvaa wigi vibaya? mbona we hunyoi para kama salim kikeke? coming to styles kila mmoja anapenda linalomvuta
Asante...hivi haujawahi kukutana na wanawake wana sura kama mwanaume?....kuna mahali ndo nilikuwa naenda kuanza kazi kwa mara ya kwanza...basi kuna mmama amenyoa yani bila kutambulishwa kuwa ni mmama nilijua ni mbaba afu ana sauti ya besi....acha tu...