Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,918
- 30,259
NAMI NATUNUKU PICHA KUSHUKURU
Nimemwandikia ndugu yangu aliyenitunuku picha adimu:
"Nami nakupa picha adimu na nyongeza kidogo kukushukuru kwa hidaya uliyonipa.
Katika picha uliyonitunuku yupo Maalim Seif na Dr. Salim na yupo Hassan Nassor Moyo.
Nikisema niandike itakuwa kitabu kizima.
Maalim Seif tumejuana kuanzia 1992 na tukawa marafiki.
Nakuwekea link usome yale niliyopata kuandika kuhusu yeye.
Hassan Nassor Moyo tulifahamiana kwanza Dar es Salaam katika miaka ya 1980 kisha katika miaka ya 1990 tukawa majirani Tanga.
Nakuwekea link kuhusu Maalim Seif na Hassan Nassor Moyo.
Nakuwekea picha ya Ali Hassan Mwinyi na mimi nilipomtunuku kitabu cha Abdul Sykes Ukumbi wa Korea 2015:"
https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=1058943681519676&id=100022121633704&mibextid=Nif5oz
https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=769681820445865&id=100022121633704&mibextid=Nif5oz
Nimemwandikia ndugu yangu aliyenitunuku picha adimu:
"Nami nakupa picha adimu na nyongeza kidogo kukushukuru kwa hidaya uliyonipa.
Katika picha uliyonitunuku yupo Maalim Seif na Dr. Salim na yupo Hassan Nassor Moyo.
Nikisema niandike itakuwa kitabu kizima.
Maalim Seif tumejuana kuanzia 1992 na tukawa marafiki.
Nakuwekea link usome yale niliyopata kuandika kuhusu yeye.
Hassan Nassor Moyo tulifahamiana kwanza Dar es Salaam katika miaka ya 1980 kisha katika miaka ya 1990 tukawa majirani Tanga.
Nakuwekea link kuhusu Maalim Seif na Hassan Nassor Moyo.
Nakuwekea picha ya Ali Hassan Mwinyi na mimi nilipomtunuku kitabu cha Abdul Sykes Ukumbi wa Korea 2015:"
https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=1058943681519676&id=100022121633704&mibextid=Nif5oz
https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=769681820445865&id=100022121633704&mibextid=Nif5oz