Ni kweli kuna kiongozi yeyote mwenye sifa kama hizi?
1. Ana hofu ya MUNGU
2. Anaweka maslahi ya umma mbele kuliko yake ya binafsi au ya chama chake.
3. Mtetezi wa haki za wanyonge.
4. Hatoi wala kupokea rushwa.
5. Mkweli na muwazi
6. Mwaminifu.
7. Anafanya maamuzi kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizopo.
8. Anazingatia matumizi sahihi ya taarifa.
9. Yuko tayari kukoselewa.
10. Mwajibikaji
1. Ana hofu ya MUNGU
2. Anaweka maslahi ya umma mbele kuliko yake ya binafsi au ya chama chake.
3. Mtetezi wa haki za wanyonge.
4. Hatoi wala kupokea rushwa.
5. Mkweli na muwazi
6. Mwaminifu.
7. Anafanya maamuzi kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizopo.
8. Anazingatia matumizi sahihi ya taarifa.
9. Yuko tayari kukoselewa.
10. Mwajibikaji