Natufuta mke mwenye VVU

Natufuta mke mwenye VVU

Mushka

Member
Joined
Nov 15, 2014
Posts
25
Reaction score
11
Wadau habari zenu,

Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 31, nimepima afya na kukutwa nina maambukizi ya VVU.Natafuta mke wa kuoa mwenye maambukizi kama mm ili tuishi kwa matumaini.

Sina masihara katika jambo hili, mimi ni mkristo na ningependa apatikane mkristo mwenzangu ili kusiwe na vikwazo vya ndoa. Naishi Dar nina afya njema kiasi kwamba ningeweza oa mwanamke yeyote yule.

Ila kwakutambua kuwa ni kosa kufanya hivyo ndiyo maana nimelileta kwenu wadau.Sina masihara kwenye jambo hili. Mwenye nia ya dhati anipm.

Asanteni
 
Mkuu hongera kwa kutulinda...utapa umtakaye
 
Upate haja ya moyo wako kiongozi..
 
utafanikiwa katika hili na Mwenyezi Mungu akutangulie..na akujalie maisha yenye fanaka mkuu. I am touched!
 
pole sana,,ni uamuz mwema umechukua wa kujijua na kuwapenda pia wengine...i hope Utampata umpendae
 
Wote wangekuwaga hivi ninahakika maambukizi yangekua kidogo sana.

Thumb up to you broda and all the best.
 
Nawashukuru sana wote mliyonitia moyo mbarikiwe sana
 
Km kweli upo serious basi wewe ni jasiri coz ingawa unatumia id ambayo si jina lako halisi but kujipublish hiv inahitaji moyo wa ujasiri sana.

Mungu atakusaidia utampata tu
 
wabongo tunapenda sifa za kijinga jaman,, si ukachkue kule tunakoendaga kupanga mstar kuchkua ARVerossa?! debe shinda
 
umepima toka lini na madawa umeshaanza? Kama ndio una muda gani toka uanze kuyatumia
 
wabongo tunapenda sifa za kijinga jaman,, si ukachkue kule tunakoendaga kupanga mstar kuchkua ARVerossa?! debe shinda

Wewe ni bweg.e kumzidi mzazi aliokuzaa. Mzazi wako kala hasara.

Upumzishwe kwa karaha mpaka utakapojuta.

Amen.
 
Nawashukuru sana wote mliyonitia moyo mbarikiwe sana

Mungu yu mwema kwako kiongozi. Afadhali we umeshajijua, wengi hapa watakupiga madongo wakati hawathubutu kupima.

Wana heri wamtumainiao Mungu.

Mungu ajibuye na akujalie matumaini ya moyo wako.

pamoja sana kiongozi.
 
kujibishana na ww ni kukupa sifa za kijinga!! debe shinda

Wewe pipa taka bora usibishane na mimi. Utapata mapunye ya sehemu za siri ubadilishwe jinsia.... najua utafurahi sana.

unyanyapaa sio ishu. ni ujinga uliopitiliza.

come again
 
wabongo tunapenda sifa za kijinga jaman,, si ukachkue kule tunakoendaga kupanga mstar kuchkua ARVerossa?! debe shinda

Haya ndo masihara ambayo mtoa uzi kasisitiza kuwa hayataki..sifa gani unazoziongelea ww??
 
Haya ndo masihara ambayo mtoa uzi kasisitiza kuwa hayataki..sifa gani unazoziongelea ww??

Achana na hili cheche... linajihisi liko salama saaaana. Pumbaf zake na robo.

Mungu alilaani lifie jalalani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom