kaka unitake radhi tafadhali,, nani kasema hii ni biashala? Na hilo swali lingine nimeshalijibu zaidi ya mara 100 hapa. Hiyo si avatar tu bali ni mimi mwemyewe. Kwanini niweke ya mwingine wakti allah ameniumba nikaumbika? Najiamini sana kwa taalifa yako
labda amemaanisha awe anapaka asichubukeHahahahahaa!!!!
sasa nyie dada zangu siwaelewi kabisa!!
Poda usoni.........poda kwenye makalio tena???!!!
Heeee!!!!Kaka unitake radhi tafadhali,, nani kasema hii ni biashala? Na hilo swali lingine nimeshalijibu zaidi ya mara 100 hapa. Hiyo si avatar tu bali ni mimi mwemyewe. Kwanini niweke ya mwingine wakti Allah ameniumba nikaumbika? Najiamini sana kwa taalifa yako
Duh, taratibu baba michelanjeloungejiamini usingeweka hilo zigo hapo...
Hapo unaonesha unavyo" scream for attention"...
hahahahahaa!!!!
Sasa nyie dada zangu siwaelewi kabisa!!
Poda usoni.........poda kwenye makalio tena???!!!
labda amemaanisha awe anapaka asichubuke
Hahahahahahaaa!!!mimi napenda wale wanaochora piko
kwenye wowowo na sio huyo wa tatoo...
Au wanaoyapa hina hivi....
Tembea uone lol
Ndiyo ni kweli natoa!!
Natoa avatar yangu kuanzia kesho maana naona vijino pembe wamezidi kuniandama na kunitumia pm nyingi sana. Pia naona akina Speaker, Okada, Asprini na wengine wananisakama kwamba nitoe vile haiendani na maadili. Kwa hiyo jamani mnivumilie kidogo, Kesho nitatoa.
Nawasilisha
Ushindwe na urojoke!!!!!!!ungejiamini usingeweka hilo zigo hapo...
Hapo unaonesha unavyo" scream for attention"...
umetoka jela au!Hahaha! nimekuja mbio niliposoma 'natoa' kumbe hutoi eboo nina ukame we acha tu lol!
mi nashangaa wanaume wa humu..wao wanatuwekea avatar matata mpaka tunashindwa lala ila watoto wa kike wakiweka kelele mtindo mmoja
here we gomi nashangaa wanaume wa humu..wao wanatuwekea avatar matata mpaka tunashindwa lala ila watoto wa kike wakiweka kelele mtindo mmoja
Matatizo yangu ya kuishi seminary muda mrefu yanisababisha nisielewe mambo mengi sana!!!mi nashangaa wanaume wa humu..wao wanatuwekea avatar matata mpaka tunashindwa lala ila watoto wa kike wakiweka kelele mtindo mmoja
mmmmh!!!here we go
Lile toto si limeenda Moshi kusalimia inakaribia wiki.umetoka jela au!
And....... ze winner is................................Matatizo yangu ya kuishi seminary muda mrefu yanisababisha nisielewe mambo mengi sana!!!
Hebu nambie, avavtar matata za wanaume zinazowafanya nyie mshindwe kulala ni zipi.........mfano mmoja tu!! please!!
Unajua mimi hili kalio halijanistua kabisa!!............tehe tehe!!
Nakwambia Sangara, lzm nitoee, maana nishatishiwa hata kupata BAN. Natoausiitoe kwa shinikizo la watu...just live your life.