Uchaguzi 2020 Natoa onyo la mwisho kabisa kwa Tundu Lissu

Kimsingi Lissu sio muongeaji mzuri na mjenzi mzuri wa hoja hili ni tatizo la watu wenye akili nyingi,angepata watu Kama Zito ambao inaonekana huko cdm hawapo ingesaidia kuweka bond mzuri.
Lissu angejua kuelezea kirahisi hoja ya bima ya afya na kuhusisha na Hali ya umaskini wa watu ingemsaidia Sana.Kwa mfano umeme umefika karibu kila Kijiji,sasa unakuta Kuna kaya 400 lakini ni kaya 25 tu Zina umeme ,,huu ni mfano tosha kuelezea Hali mbaya ya umaskini maana kaya zote hizo zimeshindwa kulipa 27,000 ya umeme,watu Kama Hawa eti unawaambia tumenunua ndege.Na mengine mengi ambayo ni ya kawaida Ila tu mtu ujue kuyanyumbua na uwe na takwimu
Ununuzi Ndege kuna ufisadi lazima awambie watu juu ya mapungufu ya CCM kabla ya mengineyo kwanza
 
Dikteta wenu ameshajua kujenga hoja mpaka mhamie kwa jirani??
Maana yeye ndo anasifika kwa kujibu hoja kwa risasi.
Mfundisheni kwanza jiwe kujenga hoja, maana hata kuzungumza tu kiswahili kwake ni shida
Hizo risasi mnazo imba kila siku si muende mkatoe ushahidi wenu huko mahkamani, mnaboa sana, inawezekana hizo risasi mnapigana wenyewe kwa wenyewe
 
Hamuwezi shindana na mtu ambae tayari ni mshindi, Kama ameweza shinda mauti uchaguzi kitu gani.
Lisu Hana kashfa yeyeto Kama walivyo wagombea wengine.
 
Lisu ndie mtu sahihi kwa aina ya siasa za awamu hii.
Utawala huu ulijiaminisha unapendwa ukazuia mikutano ya siasa kwa miaka mitano wakajua kashfa zao ni siri hakuna anayeweza kuwachana ukweli, sasa Lisu kaamua kuwapa vidonge wanaweweseka vibaya
 
Hizo risasi mnazo imba kila siku si muende mkatoe ushahidi wenu huko mahkamani, mnaboa sana, inawezekana hizo risasi mnapigana wenyewe kwa wenyewe
Acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni? Kwa ufala wako chadema apeleke kesi mahakamaccm atapata haki? Kuna haki kwenye utawala wenu wa kishetani? wewe ulitaka umpige risasi aache kusema akae kimya? Kama hukutaka aseme usingekwenda Dodoma kumpiga risasi.
 
Nani kamuachia chama peke yake? weee ndiyo unaropoka uzushi, kama Lisu angekuwa peke yake mngehangaika kumhujumu kupitia NECCCM Tumeccm na Polisiccm vyombo binafsi vya CCM, kipindi hiki CCM wapo busy kuwahujumu chadema kwa kila hali lazima wagombea wengi wasalie majimboni kupambana na hujuma za CCM kwa msaada wa Polisiccm
Mkuu kiongozi ,nilisema humu pindi lissu ameteuliwa na mwalim
Nilisema hii dam changa ya mwaka huu chadema sio ya kitoto,wengine wakawa wanamdhalau mwalim, nikasema mwalim sio wa mchezo mchezo Sasa kadri siku zinavyo zidi mwalim anazidi shangaza, mipango ya chadema kuipata mpaka utumie tochi na haisaidii maana top ten hapo juu wamechukuliwa watu pure.

Na wanaokijua ,na kukipenda chama hakuna tahalifa ya kulick na maana mwamuona mbowe karelax Hana pressure,Mh Benson hasikiki huyo kimkakati zaidi chadema mwaka huu wamejipanga kwelikweli sio wa kubeza ,japo utashangaa ccm wamerilax mziki wamemwachia mgombea wao ,ccm mwafaaa, mgombea wenu Hana Cha kupoteza ,hata alieshindwa tutaendelea kumtunza Kama rais mstahafu Sasa nyie mtakua wageni wa nani
 
To be honesty maccm yakitoboa mwaka huu ,Basi ndio itakuwa awamu yao ya mwisho maana maelfu ya vijana watakaoingia mitaani ndani ya miaka 5 ijayo hawataweza tena kuvumilia wizi wa kura waendelee kuwa na Hali ngumu za maisha.Bahati nzuri au mbaya sera zao ni zile zile za kujenga jenga nk nk
 
Well Said. Tukio la risasi alichukua almost robo tatu ya muda. Tunataka atuambie kwa nini tumpe kura. Binafsi nilisema nampa kura yangu ila jana kaniangusha kabisa. Kura yangu bora nimpe Babu Rungwe.


Kwa Rungwe unafuata Ubwabwa??🤣
 
Acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni? Kwa ufala wako chadema apeleke kesi mahakamaccm atapata haki? Kuna haki kwenye utawala wenu wa kishetani? wewe ulitaka umpige risasi aache kusema akae kimya? Kama hukutaka aseme usingekwenda Dodoma kumpiga risasi.
Nyinyi mtaishia kwenye lugha chafu na matusi, hizo ndio uwezo wenu wakipekee. Mtalia usiku na mchana lakini ujue hamtafika mahali popote. Jipangeni tu akili zenu
 
Watoto wa shule awapigi kura my frnd. Sehemu ya vijana wanaohudhuria mikutano ya lissu. Ni wale wasiokuwa na vitambulisho vya kupiga kura. Uwati wa CCM wengi wao ni wapiga kura . Na wengi wana vitambulisho vya kupiga kura.
Hizo ni takwimu za hapo gheto kwako? au takwimu za kukariri toka kwa mjinga mkuu wa CCM polepole? Hakuna mpiga kura mwenye Akili timamu anakwenda kwenye mikutano ya CCM, mikutano ya CCM hujaa watu toka wilaya zingine, wanafunzi husombwa kwa mafuso mabasi, mikutano ya CCM bila wasanii hakuna mtu atakaa kusikiliza uzushi kutetea udikiteta
 
To be honesty maccm yakitoboa mwaka huu ,Basi ndio itakuwa awamu yao ya mwisho maana maelfu ya vijana watakaoingia mitaani ndani ya miaka 5 ijayo hawataweza tena kuvumilia wizi wa kura waendelee kuwa na Hali ngumu za maisha.Bahati nzuri au mbaya sera zao ni zile zile za kujenga jenga nk nk
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, CCM hawataki maendeleo pesa zote za viwanda maendeleo za walipa kodi inatumika kuidhoofisha kuihujumu chadema kuua upinzani, kama siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko Taifa lolote Duniani ikiwemo America na pengine ingekuwa na kura ya veto, CCM ya sasa ni ya hovyo imejaa ushetani wa kutisha
 
Well Said. Tukio la risasi alichukua almost robo tatu ya muda. Tunataka atuambie kwa nini tumpe kura. Binafsi nilisema nampa kura yangu ila jana kaniangusha kabisa. Kura yangu bora nimpe Babu Rungwe.

hadi wewe umemkana lissu? basi hali ni mbaya
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, CCM hawataki maendeleo pesa zote za viwanda maendeleo za walipa kodi inatumika kuidhoofisha kuihujumu chadema kuua upinzani, kama siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko Taifa lolote Duniani ikiwemo America na pengine ingekuwa na kura ya veto, CCM ya sasa ni ya hovyo imejaa ushetani wa kutisha

skia izi pombe zingine uku, infact inawezekana hata tungekua maskini zaidi ya hapa tulipo! kua na rasilimali na kua na mtu mwenye maono na izo rasilimali ni kitu kingine, ruzuku ni rasilimali pia, sasa unataka tuishi kama ufipa? tutolee takataka apa
 
Watu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.

Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.

Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.

1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.

Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.

Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.

Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.

Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.

Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.

Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria

2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.

Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.

Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.

3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.

NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.

Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Je, hadi leo bado mtazamo wako ni huu comrade?
 
Nyinyi mtaishia kwenye lugha chafu na matusi, hizo ndio uwezo wenu wakipekee. Mtalia usiku na mchana lakini ujue hamtafika mahali popote. Jipangeni tu akili zenu
Endelea kujidanganya unazeeka na kufa bila CCM kurejea tena, huu ndiyo mwisho wake ya Malawi Kenya congo Ghana Gambia yanaenda kutokea Tanzania, CCM itakuwa chama cha upinzani kama KANU ya kenya?
 
Niko bush sehemu yenye tatizo la network, sipati habari kwa mtiririko mzuri. Ila nashauri sana kwa sasa tuko kwenye kampeni, Lisu anapaswa kufanya siasa za kupata uungwaji mkono wa umma zaidi kuliko siasa za madhila aliyopitia. Nashauri sana Lisu azungumzie mahitaji ya wananchi kwa 80%, kisha madhila yake na ya upinzani ayaongelee kwa 20% tu.

Kushinda pambano la ngumi sio uwezo wa kurusha ngumi nzito pekee, bali ni kurusha ngumi nzito zenye pointi. Ni vyema Lisu asitumie approach aliyoitumia wakati anasaka wadhamini, bali atumie approach ya kuweka mahitaji na shida za wananchi kwanza. Inatakiwa hata akishindwa awe ameacha ahadi za uchonganishi, ambazo zitawafanya kutekeleza hata kama hawapendi.

yaani we jamaa bana, kuna mda unaongeaga pointi zmeshiba ila kuna mda unaniangusha kijana wangu! ebu kula majani apo bush ntakuja kuyaotesha tena
 
Nyinyi mtaishia kwenye lugha chafu na matusi, hizo ndio uwezo wenu wakipekee. Mtalia usiku na mchana lakini ujue hamtafika mahali popote. Jipangeni tu akili zenu

Mkuu mpaka mda huu Kama kada umekisaidia chama chako vipi,? wanachama wa ccm katika uchunguzi wangu wa kawaida mnapenda Sana mteremko, unatakiwa mshindwe ili mjirekebishe,angalia wanachama wa chadema pamoja na mazingira magum ila Wana umoja makini Sana,Sasa nyie badala ya kumchangia hata sh 200 mgombea wenu mwasubili nyie mchangiwe,mmetesa Sana mgombea wenu,mh jpm relax umepambana vya kutosha ila chama chako wengi wanachama chako wapo kimaslai zaidi ,binafsi ukishindwa nitakua wa kwanza kukutetea usibughudhiwe yaliyo pita yamepita lazima kuanza ukurasa mpya iyo nitafanya, kukutetea iache kwanza ccm ife ili isukwe upya may be bahada ya miaka 25 itarudi madarakani hakuna namna ya kuwasaidia wanachama wako wakati wao hawawezi jisaidia
 
Back
Top Bottom