minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Ununuzi Ndege kuna ufisadi lazima awambie watu juu ya mapungufu ya CCM kabla ya mengineyo kwanzaKimsingi Lissu sio muongeaji mzuri na mjenzi mzuri wa hoja hili ni tatizo la watu wenye akili nyingi,angepata watu Kama Zito ambao inaonekana huko cdm hawapo ingesaidia kuweka bond mzuri.
Lissu angejua kuelezea kirahisi hoja ya bima ya afya na kuhusisha na Hali ya umaskini wa watu ingemsaidia Sana.Kwa mfano umeme umefika karibu kila Kijiji,sasa unakuta Kuna kaya 400 lakini ni kaya 25 tu Zina umeme ,,huu ni mfano tosha kuelezea Hali mbaya ya umaskini maana kaya zote hizo zimeshindwa kulipa 27,000 ya umeme,watu Kama Hawa eti unawaambia tumenunua ndege.Na mengine mengi ambayo ni ya kawaida Ila tu mtu ujue kuyanyumbua na uwe na takwimu