Una usajili wa Benki kuu kuendesha micro finance.....kama huna subiri oparasheni ya jeshi ikukuteJanuary ni mwezi mgumu.
Natoa mikopo kwa walimu(wafanyakazi wengine nafasi ni chache) hasa wa serikali kwa riba ya asilimia 13%.
Mkopo usiozidi 200,000 na unalipwa wote utakapopata mshahara
Mikoa ya Arusha, Moshi na Manyara tu
wahitaji tuwasiliane PM nitahitaji kujiridhisha kama wewe ni mwalimu kabla ya kukupa mkopo
Huu Upuuzi unaoufanya sidhani kama utafanikiwa Siku hizi Mabenk yana Salary Advance Bank za CRDB na NMB ambayo ndo ya waalimu sasa cause wamejazana hukoJanuary ni mwezi mgumu.
Natoa mikopo kwa walimu(wafanyakazi wengine nafasi ni chache) hasa wa serikali kwa riba ya asilimia 13%.
Mkopo usiozidi 200,000 na unalipwa wote utakapopata mshahara
Mikoa ya Arusha, Moshi na Manyara tu
wahitaji tuwasiliane PM nitahitaji kujiridhisha kama wewe ni mwalimu kabla ya kukupa mkopo
Mnahitaji wangapi?
Manyanyaso yapo wapi hapo?
walio serious nafanya nao mazungumzo
Kaa na fikra zako
Moshi n mkoa????January ni mwezi mgumu.
Natoa mikopo kwa walimu(wafanyakazi wengine nafasi ni chache) hasa wa serikali kwa riba ya asilimia 13%.
Mkopo usiozidi 200,000 na unalipwa wote utakapopata mshahara
Mikoa ya Arusha, Moshi na Manyara tu
wahitaji tuwasiliane PM nitahitaji kujiridhisha kama wewe ni mwalimu kabla ya kukupa mkopo
hahahaaa