Masangutu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 814
- 653
Habari zenu wadau,natoa mafunzo ya ujasiriamali namna ya kutengeneza bidhaa mbalimbali mfano,sabuni za unga,sabuni za maji,dawa za chooni,tiles cleaner,sabuni za miche,shampoo,mafuta ya mgando,tomato sauce,jam na clips.mafunzo haya natoa kwa njia ya mtandao yani,email,facebook..gharama Tsh.8000 kwa bidhaa zote,karibu sasa ujipatie maarifa kwa bei sawa na bure.nipo Morogoro mjini mawasiliano yangu E-mail;khalidfundi@gmail.com,simu namba 0768956564,0719271039..FACEBOOK ACC;khaled khalid.