Natoa mafunzo ya kutengeneza incubator ya kienyej

Natoa mafunzo ya kutengeneza incubator ya kienyej

dr ndele

Member
Joined
Aug 29, 2017
Posts
54
Reaction score
21
Wana jf kwa ujumla husiken na mada tajwa hapo juu..natoa mafunzo ya kutengeneza incubator ya mafuta ya taa ..mafunzo online ada sh 5000 tu..nipigie au tuma meseji 0744903557.tanga .kwa anaye hitaji..pia nauza vifaranga aina zote...

Nb epuka kununua mashine za kichina ni feki..tengeneza incubator asili wew mwenyew


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha Hizo wewe! Sasa hiyo incubator ya Kienyeji Temperature unaicontrol vipi?
Namjibia.... Kwenye kerosene incubator huwa wanaweka taa ya chemli ambayo unaweza ukaongeza/kupunguza joto kwa kuadjust ule utambi wa chemli
 
Wana jf kwa ujumla husiken na mada tajwa hapo juu..natoa mafunzo ya kutengeneza incubator ya futa ya taa ..mafunzo online ada sh 5000 tu..nipigie au tuma meseji 0744903557.tanga .kwa anaye hitaji..pia nauza vifaranga aina zote...

Nb epuka kununua mashine za kichina ni feki..tengeneza incubator asili wew mwenyew weka picha Mjomba watu wakuamini


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom