Natoa bure shamba la kulima

Wanaohofia hoja ya mtoa mada pole yao. Tuache mazoea, kupewa shamba la kulima bure kwa kisarawe ni kawaida. Unaambiwa lima, ukichoka liache. Mimi binafsi nipo arround mazingira uliyotaja na nimekabidhiwa zaidi ya ekari tano napambana nazo mpaka muda huu mwaka wa tatu sasa. Nimeruhusiwa kupanda papai, migomba nk. ukiachilia mbali mazao ya muda mfupi. Kwa wasiojua, wenyeji wa wilaya ya kisarawe siyo wapenzi wa kilimo. Maeneo mengi wameuza kwa "maboss" hivyo kuna muda maboss wanawapa watu walime bure kuliko kufuga pori. Binafsi naweza kukucheki huko mbeleni kama hutapata mtu ili nilime mvua za next oktoba.
 
Safi sn kiongoz na kupa Big up
Wanaohofia hoja ya mtoa mada pole yao. Tuache mazoea, kupewa shamba la kulima bure kwa kisarawe ni kawaida. Unaambiwa lima, ukichoka liache. Mimi binafsi nipo arround mazingira uliyotaja na nimekabidhiwa zaidi ya ekari tano napambana nazo mpaka muda huu mwaka wa tatu sasa. Nimeruhusiwa kupanda papai, migomba nk. ukiachilia mbali mazao ya muda mfupi. Kwa wasiojua, wenyeji wa wilaya ya kisarawe siyo wapenzi wa kilimo. Maeneo mengi wameuza kwa "maboss" hivyo kuna muda maboss wanawapa watu walime bure kuliko kufuga pori. Binafsi naweza kukucheki huko mbeleni kama hutapata mtu ili nilime mvua za next oktoba.
.up
 
Nataka mtu akuoimie akusafishie alfu baadae uje umnyanganye ili ulime likiwa limeondolewa visiki acha hzo Lima ,safisha vzr afu mpe mtu

Cha bure hknang huo Ni mtego
Hayo mawazo gani. Inamaana yeye kama ameamua kulima angeshindwa kusafisha ?
 
Mbongo sio mtu wa kumsaidia siku Moja natoka Kwa bi mkubwa Mikocheni Kwa warioba Niko na gari.Basi Ile nakata Kona bana ya kuja Palm village Kuna kituo Cha Dala Dala,Nikaona sio poa kwenda mtupu wakati watu wapo kituoni wanahangaika usafiri,Nikapaki pale nikawaambia Anayeenda ilala aje apande wakaja kibao wanauliza bei gani nikawaambia bure tu nyie pandeni.Basi wote waliposikia bure wakaondoka sijuwi waliogopa ndevu.Sikuongea Tena niliondoka zangu.
 
Wanaohofia hoja ya mtoa mada pole yao. Tuache mazoea, kupewa shamba la kulima bure kwa kisarawe ni kawaida. Unaambiwa lima, ukichoka liache. Mimi binafsi nipo arround mazingira uliyotaja na nimekabidhiwa zaidi ya ekari tano napambana nazo mpaka muda huu mwaka wa tatu sasa. Nimeruhusiwa kupanda papai, migomba nk. ukiachilia mbali mazao ya muda mfupi. Kwa wasiojua, wenyeji wa wilaya ya kisarawe siyo wapenzi wa kilimo. Maeneo mengi wameuza kwa "maboss" hivyo kuna muda maboss wanawapa watu walime bure kuliko kufuga pori. Binafsi naweza kukucheki huko mbeleni kama hutapata mtu ili nilime mvua za next oktoba.
Huko mashamba bei zipoje??
 
Mbongo sio mtu wa kumsaidia siku Moja natoka Kwa bi mkubwa Mikocheni Kwa warioba Niko na gari.Basi Ile nakata Kona bana ya kuja Palm village Kuna kituo Cha Dala Dala,Nikaona sio poa kwenda mtupu wakati watu wapo kituoni wanahangaika usafiri,Nikapaki pale nikawaambia Anayeenda ilala aje apande wakaja kibao wanauliza bei gani nikawaambia bure tu nyie pandeni.Basi wote waliposikia bure wakaondoka sijuwi waliogopa ndevu.Sikuongea Tena niliondoka zangu.
Dunia imeharibika vya bure
Vina madhara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom