pangatulale makoga
Member
- Jun 22, 2022
- 38
- 15
Shamba linauzwa, linafaa kwa kilimo Cha parachichi, miti ya mbao, maharage n,k
Lina ukubwa wa eka 50. Bei ya kila eka ni tsh laki tatu na Elfu hamsini (350,000=)
Shamba lipo Kijiji Cha mfriga ktk kata ya mfriga tarafa ya lupembe mkoani njombe. Lipo jirani na barabara na Kuna laini ya umeme umepita karibu
Maji pia yapo karibu.
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0711605570 au 0764426929
Lina ukubwa wa eka 50. Bei ya kila eka ni tsh laki tatu na Elfu hamsini (350,000=)
Shamba lipo Kijiji Cha mfriga ktk kata ya mfriga tarafa ya lupembe mkoani njombe. Lipo jirani na barabara na Kuna laini ya umeme umepita karibu
Maji pia yapo karibu.
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0711605570 au 0764426929