National Institute of Transport

Enzi zetu sisi tuliaoma Logistcs and transport Management

lakini sasa imevunjwa na kupatikana course mbili yaani

1: Logistics ya usafiri wa Reli na barabara
2: Logistics ya usafiri wa maji na Supply chain


Ki msingi kuna faida na hasara kwa kufanya hivyo. Faida ni kwamba wamepunguza Upana/ Wideness ya course na kufanya wanafunzi wasome vitu vichache kwenye uelekeo mmoja na hivyo kupata wataalam/ wajuzi wa uelekeo husika

Hasara ni kwamba Wamewanyima fursa wanafunzi kwani kama umesomea Road na railway basi hu ndio upande wako so uhusiki na marini, pipe na hata supply chain which sio kitu kizuri


Anyway nakushauri soma kozibhiyo sio mbaya
 
Duu kijana hata sem moja hujasoma ushataka kufahamu mishiko ? Usichanganywe na road au railway ni kama logistics nyingine tuu
 
Enzi zetu sisi tuliaoma Logistcs and transport Management

lakini sasa imevunjwa na kupatikana course mbili yaani

1: Logistics ya usafiri wa Reli na barabara
2: Logistics ya usafiri wa maji na Supply chain


Ki msingi kuna faida na hasara kwa kufanya hivyo. Faida ni kwamba wamepunguza Upana/ Wideness ya course na kufanya wanafunzi wasome vitu vichache kwenye uelekeo mmoja na hivyo kupata wataalam/ wajuzi wa uelekeo husika

Hasara ni kwamba Wamewanyima fursa wanafunzi kwani kama umesomea Road na railway basi hu ndio upande wako so uhusiki na marini, pipe na hata supply chain which sio kitu kizuri


Anyway nakushauri soma kozibhiyo sio mbaya
 
Naomba kuongilia uzi kidogo, Mimi nimechaguliwa Bachelor‟s Degree in Shipping and Port Logistics Management (BSPLM) apoapo NIT na ningependa pia kujua ina husiana na nini haswa na je ina soko kubwa!?
 
Naomba kuongilia uzi kidogo, Mimi nimechaguliwa Bachelor‟s Degree in Shipping and Port Logistics Management (BSPLM) apoapo NIT na ningependa pia kujua ina husiana na nini haswa na je ina soko kubwa!?
Wait wajuzi wajekusema neno maana wote wahanga tunahitaji ufafanuzi
 
Kikubwa ni kupata Boom.. Huku kwenye ajira tupo wengi tunaofanya kazi tofauti na tulicho somea vyuoni!
 
Naomba kuongilia uzi kidogo, Mimi nimechaguliwa Bachelor‟s Degree in Shipping and Port Logistics Management (BSPLM) apoapo NIT na ningependa pia kujua ina husiana na nini haswa na je ina soko kubwa!?
Hii kozi mpya ila unafanya kosa kuja kozi usiyojua inahusu nini. Pia inafundishwa pale Kigamboni kama sikosei
 
The Land Transport Regulatory Authority (LATRA) is a Government Regulatory Authority established by the Act of Parliament No. 3 of 2019. The Act repelled the act of the former regulator, Surface and Marine Transport Regulatory Authority (SUMATRA). The Authority is set to regulate the land transport sectors particularly, transportation of goods and passengers (commuter buses, inter city buses, goods carrying vehicles, taxi, motor cycles and try cycles), railways and cable transport.
 
Back
Top Bottom