Nateswa na tabia hii ya kutamani

Nateswa na tabia hii ya kutamani

Parata

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
3,090
Reaction score
692
Shaabash,
Wakuu Nawasalimu,leo Naomba Mnishaur Jambo Wakuu,ninasumbuliwa Na Tatizo La Tamaa Tena Si Za Kawaida Ni Za Kiwango Cha Juu. Yaani Akipita Dada Kavaa Kasurual, Au Nguo Inayomchora Maumbile Namtamani And Sipendi Tabia Iyo Ya Tamaa,namshukuru Mungu Naishiaga Tu Kutamani Ila Sipendi Tabia Iyo Kwakua Ni Dhambi Na Napenda Niwe Mtu Wa Mungu Jamani Nifaneje? Naomba Ushauri Wenu Kwakua Najua Hapa Ni Maali Sahihi Ndugu Zangu, Mimi Sijaoa Bado Na Umri Wangu Na Nilivojipanga Ni Hadi 2018 Je Nifaneje Kuepukana Na Tamaa?
KOKUTONA lara1 Mentor Kiranga masai dada Evelyn Salt Husninyo Na Wengine Nishaurin
 
Last edited by a moderator:
wanakuja,,,washauri wa watoto.
Hao uliowatag ni watu timamu. Ilibidi uwaalike ma profound.
 
wanakuja,,,washauri wa watoto.

Ifike Wakati Ukue Si Kila Kitu Ni Utani Kama Umekua Sana Ungekua Marehemu Saivi Maana Hata Dunia Ungeizidi
 
Mi nadhani unafanya fahari ya macho tu, cz si dhamb macho yanafanya kazi yake...
 
Nunua sabuni ya Revola kisha ukishatamani unaenda bafuni unapiga kimoja unarudi kisha ukiona mwingine hivyo hivyo,mwishowe utakinai na kuchoka na ndio itakuwa mwisho wa tabia hiyo ya kula kwa macho.
 
Uko sahihi mtamaniji, kazi ya Mungu haina makosa, kutotamani ni kumkosoa.
 
Nunua sabuni ya Revola kisha ukishatamani unaenda bafuni unapiga kimoja unarudi kisha ukiona mwingine hivyo hivyo,mwishowe utakinai na kuchoka na ndio itakuwa mwisho wa tabia hiyo ya kula kwa macho.

Ivi Ushauri Ni Wako Au Unatania?
 
pole sam love,,kwa nini unatamani tu maungo??? kwa nini usitamani ma vogue na ma range rover ma vitu makali makali ya kimaisha??
kwa nini usitamani mijengo mikali ujenge wako???
embu elekeza tamaa yako kwwenye maendeleo
KABLA SIJAKUSHAURI HILI UNA GALFRIEND???
 
pole sam love,,kwa nini unatamani tu maungo??? Kwa nini usitamani ma vogue na ma range rover ma vitu makali makali ya kimaisha??
Kwa nini usitamani mijengo mikali ujenge wako???
Embu elekeza tamaa yako kwwenye maendeleo
kabla sijakushauri hili una galfriend???

hapana bado girlfriend sina, unajua tabia hii inanikera sana ila sijui nifaneje nadhani ushauri wako ni wa muhimu
 
Usipokaa sawa wewe soon utabaka!
Shaabash,
Wakuu Nawasalimu,leo Naomba Mnishaur Jambo Wakuu,ninasumbuliwa Na Tatizo La Tamaa Tena Si Za Kawaida Ni Za Kiwango Cha Juu. Yaani Akipita Dada Kavaa Kasurual, Au Nguo Inayomchora Maumbile Namtamani And Sipendi Tabia Iyo Ya Tamaa,namshukuru Mungu Naishiaga Tu Kutamani Ila Sipendi Tabia Iyo Kwakua Ni Dhambi Na Napenda Niwe Mtu Wa Mungu Jamani Nifaneje? Naomba Ushauri Wenu Kwakua Najua Hapa Ni Maali Sahihi Ndugu Zangu, Mimi Sijaoa Bado Na Umri Wangu Na Nilivojipanga Ni Hadi 2018 Je Nifaneje Kuepukana Na Tamaa?
KOKUTONA lara1 Mentor Kiranga masai dada Evelyn Salt Husninyo Na Wengine Nishaurin
 
hapana bado girlfriend sina, unajua tabia hii inanikera sana ila sijui nifaneje nadhani ushauri wako ni wa muhimu

basi tatizo lako liko hapo kama uko above 20 mtafute msichana unaempenda kiasi kwamba ukimuona tu unamaliza

lasivyo angalia usipige miaka 30 kwa lile kosa

tafuta mtu wa vitu ambavyo vinakutamanishana kama kusini au kama ni kaskazn ndo kuna kuvutia mtafute huyo awe mmoja
EPUKA UKIMWI!(polepole kwa sauti ya kibonde)
 
Back
Top Bottom