Kuna mtu kakuuliza hapo mwanzo una mpango gani nae coz km miaka 3 unamtumia tu hakuna dalili ya uchumba wala ndoa,au unayaongelea tu hayana vitendo unatarajia nn!kuwaacha marafiki zao co kigezo,hebu ongea naye na hiyo mipango yenu itekeleze kwa vitendo!miaka 3 ni mingi sn kwa mtu kubadilika bila sababu,tafuta sababu ya tatizo ndio utafute solution hakuna anayependa kumwacha mpnz wake aliyedum naye na kuvumiliana kwa mda mrefu mpaka kuzoeana!
uzuri anajua malengo yangu kwake maana nimekuwa muwazi sana kwake,nimeachana na rafiki zangu wote wa zamani kwa ajili yake
Mahawara hawaachani kamwePiga chini haraka sana atakutesa baadae
Miaka 3 ni mingi sana kukaa na mtu usiye elewa msimamo wake. Mi nadhani ukimpa matumaini kwa vitendo huyo dada atatulia.
Kaburu,two is a company but three is a crowd my friend.Sepa achana nae huyo