Nategemea wazo lako muhimu

Sure the Boy

Member
Aug 7, 2019
15
3
Jaman wakubwa mimi kijana, nasoma Bsc. Agronomy pale SUA , kwa sasa nipo Likizo dar sina cha kufanya nipo tu, naomben ushaur maana nataman nipate chochote cha kuwa angalau kinanipatia hata hela ndogo ndogo ya matumiz, au hata experience.. Wakati huu wa Likizo.
 
Jaman wakubwa mimi kijana, nasoma Bsc. Agronomy pale SUA , kwa sasa nipo rikizo dar sina cha kufanya nipo tu nyumban, naomben ushaur maana nataman nipate chochote cha kuwa angalau kinanipatia hata hela ndogo ndogo ya matumiz, na experience.. Wakati huu wa rikizo.
RIKIZO NI NINI MKUU
 
Jaman wakubwa mimi kijana, nasoma Bsc. Agronomy pale SUA , kwa sasa nipo Likizo dar sina cha kufanya nipo tu, naomben ushaur maana nataman nipate chochote cha kuwa angalau kinanipatia hata hela ndogo ndogo ya matumiz, au hata experience.. Wakati huu wa Likizo.
Aseee watu mbona mpo makini na neno tu 1 lililokosewa wakat yapo maneno zaid ya 50 amabayo yapo sahh, ahahah ama kweli kila kitu kna changamoto...
Ila mpaka hapo nimeshajfunza kitu
 
Nikupe kazi ww for a part time wakat wapo vijana wameshamaliza chuo and they can work as a cheap labourers for only 150000-20000 per month

Maliza shule kwanza mzee baba
 
Back
Top Bottom