nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,285
- 3,247
...hoja yako ina tofauti gani na hoja ya Dr.Kigwangala iliyopitishwa(in context)?.......kama umeona hoja yako ina tofauti na ya mwenzako niliyemtaja..kwanini hukuongezea unayoona yana tofauti kwenye hoja ile ambayo ililenga kushughulikia matatizo ya vijana?.........waambie viongozi wako washughulikie implementation ya hoja zilizopitishwa kuwahusu vijana....maana ziko......unachofanya hapa ni unaa tu wa kujaribu kuwaonyesha vijana kuwa unafanya kazi....baada ya kusutwa na jimbo lako.....you still have some time to work for your people though...kama utaacha siasa za taka....