Fundi aliyepaua hapo amekosea, ilitakiwa upande dume wa bati uwe chini, upande jike uwe juu ambapo kama angefanya hivi hiyo mianya isingekuwa inaonekana lakini pia katika upauaji direction ya kutoka kushoto kwenda kulia au kulia kwenda kushoto inategemea na orientation ya bati la kwanza lilivyowekwa katika upande husika