Jibu lako limefunga mjadalaNenda Ifakara
Huko ndio wanalima sana mahindi?Jibu lako limefunga mjadala
Huko wanalima mazao yote ya chakulaHuko ndio wanalima sana mahindi?
Sawa mkuu nashukuru kwa taarifaHuko wanalima mazao yote ya chakula
Asante mkuuSawa mkuu nashukuru kwa taarifa
Moro mjini ndo mpango mzima
Karibu Ifakara mkuu,huku kama kweli unakuja kwa nia ya kilimo patakufaa sana ni mtaji wako tuheshima kwenu wanajf,,
Natarajia kuhamia mkoa wa Morogoro hivi karibuni,, Sababu iliyonifanya kuuchagua mkoa huu ni kwamba una fursa nyingi za kilimo,, hivyo kwa wenyeji au mlio na uzoefu na mkoa huu naombeni mnipe ni maeneo yapi yanafaa kwa kilimo cha Mahindi na Mpunga,,
nawasilisha.
Mm nipo townheshima kwenu wanajf,,
Natarajia kuhamia mkoa wa Morogoro hivi karibuni,, Sababu iliyonifanya kuuchagua mkoa huu ni kwamba una fursa nyingi za kilimo,, hivyo kwa wenyeji au mlio na uzoefu na mkoa huu naombeni mnipe ni maeneo yapi yanafaa kwa kilimo cha Mahindi na Mpunga,,
nawasilisha.
ohh Pale mashamba yapo wPi vile?Labda pale Msamvu!
Pale Samaki samaki siyo??Moro mjini ndo mpango mzima
Dada! Tupe fursa tuje lima niniNenda Ifakara
Dada! Tupe fursa tuje lima nini
Huku hawapitishagi mifugo mashambani;
Ni mpunga tu kwakweli..!Kilimo cha mazao gani kinafaa huko?
Dada! Tupe fursa tuje lima nini
Huku hawapitishagi mifugo mashambani;
Kama umeniona ujue nipo mbarali sasa hivi uku mbeya nimekuja langua.Achana na kilimo mkuu (hii naongea nikiwa serious kbs)cha kufanya ww nunua mazao tu!kila laheri