Natangaza rasmi...

Natangaza rasmi...

kulikuwa na haja ya kutaja we ni msingida???
 
Magamba mjue cdm si viongozi walioko hapo juu. CDM ni nguvu ya umma, umma uliochoka mbaya na manyayaso, wizi uliokubuu, uongo wa shetani, ufisadi ....dhidi ya wananchi. cdm ni mwamvuli wetu tu ktk kufanya mapinduzi ya kweli and will do it.

Choka mbaya ya watanzania haiangalii nani msomi hapo cdm, hao wasomi wakishindwa kutusogeza mbele tutaweka jw mmoja tu na nchi isonge mbele. Hatuwezi kuona kabineti ya nape na kinana inachukua nchi. huo ndo ukweli.
 
Ogopa sana nguvu ya umma. hakuna mtu yeyote atayeweza kushindana na nguvu ya umma. sasa nguvu hii imeamuwa, taka zote zipigwe nje. ndio mpango mzima. wewe mwenye kuleta huu uzi utakuwa na mtindio wa ubongo kwani motisha ya kujiunga cdm ilikuwa kwa kuangalia watu na si dhamira yako. watu kama nyie ni useless kwa chama na hata kwa taifa maana akili zenu mnashikiwa na wengine. maana yake zzk akijiunga na ccm aka majangili nawe utajiunga... kweli mburula wako wengi.

tafadhali jaribu kuficha upumbavu wako walau mara moja moja.

Capital
 
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.

Dhambi zako zimesamehewa usitende tena dhambi
 
Ndg yangu Mnyiramba! Kama unafuata mtu Ruksa lakini kama ni sera unakosa uzalendo!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
hongera kwa kujua ukweli hicho siyo chama ni sacos wa watu wanatumia siasa kama cover tu.
 
Tatizo mmelelewa na CCM ambayo haiwezi kuwajibisha viongozi wake wanapo kosea...Nia ni kujenga Chama siyo kubomoa ..Kama hilo limekuudhi safari njema...Hatuwezi kuwa na Chama kinacho zungumza "majina" ya watu...CDM imethubutu ..CCM waige kama wanaweza..
kamwe hawawezi mkuu,mpaka leo magamba ya akina Lowasa na wenzake yameshindwa kuvulika.
 
hongera mkuu daima ukiona mahala haki haitendeki ni vema kujitenga nao tu wasije kukudhuru bure.
 
Dah so upo tayari kuishi na impurities ilimradi unazipenda?? Unajua why ccm wanashindwa kuwakamata na kuwafunga mafisadi? Ni kwa kuwa wapo kama wewe hawapo tayari kuwajibishana na hii imetuathili adi cc wananchi yaan ata kama mtu ni mchafu cc hatutaki awajibishwe au awaposhe wengine
 
magamba mjue cdm si viongozi walioko hapo juu. Cdm ni nguvu ya umma, umma uliochoka mbaya na manyayaso, wizi uliokubuu, uongo wa shetani, ufisadi ....dhidi ya wananchi. Cdm ni mwamvuli wetu tu ktk kufanya mapinduzi ya kweli and will do it.

Choka mbaya ya watanzania haiangalii nani msomi hapo cdm, hao wasomi wakishindwa kutusogeza mbele tutaweka jw mmoja tu na nchi isonge mbele. Hatuwezi kuona kabineti ya nape na kinana inachukua nchi. Huo ndo ukweli.

amekusoma sana.
 
Back
Top Bottom