Natangaza rasmi...

Natangaza rasmi...

Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.

Tunakutakia kila la heri maana ya Kaisari tuwachiwe wenyewe Kaisari
 
Hongera ndugu yangu. Nami natangaza kujiunga na Chadema rasmi baada ya kuondolewa nyoka huyo ambaye amekuwa akikikosha amani chama. Ni bora alivotokomea! Hurreeeeeeeee!
.....Mkuu naomba unijuze.....nimesoma maandiko mengi juu ya hili suala la mh Zitto.....sijui amehukumiwa kwa kosa gani......kwa kufuata utaratibu upi.......hakuna mahala yanatajwa haya......tafadhali
 
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.

ulijiunga lini na kadi namba yako ni ngapi tutajie

kama hujazoea dhana ya uwajibikaji huwezi kukaa mahali wanapoiamini. naamini huko unakohamia wakianza utekelezaji wa dhana ya uwajibikaji utakosa pa kwenda
 
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.

Ondoka na wanafki wote muondoke wabaki wenye nia moja ya kuona mabadiliko. Kazi kutumiwa na MaCCM tu
 
Ndugu wanajf na
Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na
maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama
wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa
kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati
kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma
uzi huu.

Unapoandika Pumba zako ujaribu kufikiri, hakuna mnyiramba hewa style yako pengine we ni wa makunda kwa mwigulu! Unafaham vizur nguvu ya chadema Iramba au unaongepea tu kwa njaa zako?
 
Unapoandika Pumba zako ujaribu kufikiri, hakuna mnyiramba hewa style yako pengine we ni wa makunda kwa mwigulu! Unafaham vizur nguvu ya chadema Iramba au unaongepea tu kwa njaa zako?

Ndugu Iramba,nimeeze iza sana ene,kwhy sikungonga kakentu,kwani uwe wa pee nwa kileta ekemani epa pi jukwaa?,gona mdawu wendi dema i mitugo.
 
Mimi naipenda Tanzania hata ukihama chadema ccm Ndio hakufai kuna machafu kuliko CDM!! Walitangaza kuvua magamba hadi Leo wameshindwa Leo wanaonyesha uchungu kwa zito kwakua wao Ndio wamemnunua!! Kila tukijaribu kuwatoa madarakani ki democrasia wananunua wapinzani dawa yao kua inachemka
 
Unapoandika Pumba zako ujaribu kufikiri, hakuna mnyiramba hewa style yako pengine we ni wa makunda kwa mwigulu! Unafaham vizur nguvu ya chadema Iramba au unaongepea tu kwa njaa zako?

huenda unaongea na Mwijulu meenyewe hapa bila kujua!
 
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.

Ulijiunga rasimi mwaka gani? Tukabidhi kadi yetu ili ulale vizuri peponi.
 
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.

Itisha waandishi wa habari ili tangazo lako liwafikie wengi!
 
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.

Safari njema tuache na CDM yetu nenda mwingulu anakusubiri.
 
Back
Top Bottom