KaziIendelee
JF-Expert Member
- Oct 30, 2013
- 327
- 231
- Thread starter
- #21
Baada ya kutoka Denmark mwaka huu mwezi wa nne,nilipendezwa sana na chama cha CDM,ila kwa sasa,HAPANA
Siku za usoni, mtakuja kuzika hizi coments zenuMimi ni mpiga kura,nimefanya hivyo kwa kutambua thamani ya kura yangu.
Baada ya kutoka Denmark mwaka huu mwezi wa nne,nilipendezwa sana na chama cha CDM,ila kwa sasa,HAPANA
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.
hongera mkuu mimi binafsi sina chama chochote wote wazinguaji. vyama pinzan vinalalamikia demokrasia wakat waho hawana demokrasia.
kila siku wenyeviti na wagombeaji urais ni wale wale yani wako kulinda maslahi tu ukiwa mkweli wanakuondoa.
natangaza rasmi sina chama chochote wote wachumia tumbo tena upinzan ndio hatari zaidi
Na wewe utajitambua lini urudishe rambirambi ya mjane wa Mwangosi?Hongera kwa kujitambua, dhambi zako zimesamehewa
Mwingineeeee!
Nenda na amani.Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.
Naipongeza kamati kuu ya chadema kwa maamzi yaliyofznyika. big upKura au kula!!??