Natangaza rasmi kuanza utabiri

Natangaza rasmi kuanza utabiri

Daah! Jamaa noma sana. Hongera sana.

Ila umeniacha hoi na hiyo bonge la offisi lenye kiyoyozi unalokaa mwenyewe , najaribu ku imagine. But all in all , wewe ni Noma sana

Respect..
Kasema ukweli asije onekana mganga njaa...anatafuta umaarufu.
 
Niliwaambia acheni kumkejeli mshikaji huyu mwamba hakoseagi mkanikejeli na mie; sasa na kuna mwengine anatumia ID ya Tumia Akili hawa wamba wawili ni noma kwenye utabiri tafuteni ID ya tumia akili muone alichoandika mie sisemi kitu
 
Huyu jamaa hana tofauti na Mimi hasa kupitia familia yangu na ndugu zangu huwa nakuwa wa Kwanza kupewa taarifa Kwa njia ya ndoto na huwa kweli....huwa naulizwa Sana kuhusu mambo yatakayotokea baadae hasa kama kuna shida Fulani ndani ya familia yetu
 
Huyu jamaa hana tofauti na Mimi hasa kupitia familia yangu na ndugu zangu huwa nakuwa wa Kwanza kupewa taarifa Kwa njia ya ndoto na huwa kweli....huwa naulizwa Sana kuhusu mambo yatakayotokea baadae hasa kama kuna shida Fulani ndani ya familia yetu

Nataka yatakayo nitokea baadae na Mimi
 
Kesho inshaalah ntaelezea ndoto moja miongoni mwa nne nilizoota kuhusu Rais wetu lakini nawaombeni tumuombe sana ili mungu amuepushie.Katika ndoto nne nilizoota kuhusu huyu kiongozi wetu yaani kuanzia mchakato katika chama chake mpaka kua Rais tatu zimeshakamilika bado moja ambayo hata mimi sitaki itoke
DUh wee jamaaa uliota hii 2016...roho wa Bwana yu ndani yako, una karama
 
Mimi nadhani watu potential kama huyu Mwamba inabidi wapewe blue tick maana michango yao inaweza saidia baadhi ya vitu
 
Huyu jamaa hana tofauti na Mimi hasa kupitia familia yangu na ndugu zangu huwa nakuwa wa Kwanza kupewa taarifa Kwa njia ya ndoto na huwa kweli....huwa naulizwa Sana kuhusu mambo yatakayotokea baadae hasa kama kuna shida Fulani ndani ya familia yetu
Mchinga sound
 
Naona umeanza kitambo sema uzi wako wa ndoto zilizokamilika mods wame_u_freeze.
 
20221031_205254.jpg

Ngoja kwanza nikirudi nitaendelea kusoma
 
Ajitokeze basi japo atuambie ikiwa kuna ndoto nyingine ameota.
Kuna vitu vingine sio vizuri kuvijua kabla kwani inauma sana kujua halafu muhusika unamjua,WALICHOMFANYIA MCHUNGAJI MTIKILA AMBAYE SASA NI MAREHEMU roho iliniuma sana lakini sikuwa na la kufanya.Yaani MTIKILA ndio ilikuwa kama nimewashiwa TV naambiwa haya angalia kitakachotokea kwa huyu mtu
 
Kuna vitu vingine sio vizuri kuvijua kabla kwani inauma sana kujua halafu muhusika unamjua,WALICHOMFANYIA MCHUNGAJI MTIKILA AMBAYE SASA NI MAREHEMU roho iliniuma sana lakini sikuwa na la kufanya.Yaani MTIKILA ndio ilikuwa kama nimewashiwa TV naambiwa haya angalia kitakachotokea kwa huyu mtu
Aiseeee ni balaaa
 
Back
Top Bottom