robbins emmy
Member
- Aug 17, 2011
- 46
- 9
Mimi nina kadegree kangu na ndie diwan wa kata ya masama west 2015 na kama mungu akiona inafaa ntakua m/kiti wa halmashauri ya wilaya ya Hai. Vijana tuamke ndo muda wetu huu!! CDM damu!
karibu kahama FM kwamahojiano zaidi na live watu wakusikie
Asante mkuu kwa marekebisho,lakini kuhusu swala la chama mkuu ni CDM .Matatizo nlisema nitaendelea kuyaelezea mbeleni ikiwa pamoja na mipango yangu yote
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho hapa muhimbili, nalitamani na ninatamani sana kuwatumikia wananchi wenzangu wa kahama. Kilichonisukuma sana ni kuona rasilimali nyingi tulizonazo wana wa Kahama ni aibu maisha tunayoishi tukiendelea kutembelea barabara za vumbi ,ugumu wa maisha ukituandama kiasi cha kutishia amani ya wananchi na migodi pia kwa sababu naona ujambazi na matukio ya ajabu yamezidi.
Lakini pia kama kijana nimefikia uamuzi huu kwa kundi la vijana wenzangu likihangaika bila ajira .Pia kilimo chetu maarufu cha pamba na mpunga vinazidi kufifia kwa sababu ya sera mbovu za viongozi wetu walioamua kutufanya maskini kwa makusudi.
nitaendelea kutoa maelezo mengi sana kuhusiana na huu uamuzi ,Pia Wana KHM wenzangu mliomo jamvini endeleeni kunishauri kadri muwezavyo
NAWASILISHA
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho hapa muhimbili, nalitamani na ninatamani sana kuwatumikia wananchi wenzangu wa kahama. Kilichonisukuma sana ni kuona rasilimali nyingi tulizonazo wana wa Kahama ni aibu maisha tunayoishi tukiendelea kutembelea barabara za vumbi ,ugumu wa maisha ukituandama kiasi cha kutishia amani ya wananchi na migodi pia kwa sababu naona ujambazi na matukio ya ajabu yamezidi.
Lakini pia kama kijana nimefikia uamuzi huu kwa kundi la vijana wenzangu likihangaika bila ajira .Pia kilimo chetu maarufu cha pamba na mpunga vinazidi kufifia kwa sababu ya sera mbovu za viongozi wetu walioamua kutufanya maskini kwa makusudi.
nitaendelea kutoa maelezo mengi sana kuhusiana na huu uamuzi ,Pia Wana KHM wenzangu mliomo jamvini endeleeni kunishauri kadri muwezavyo
NAWASILISHA
Endelea katika taaluma yako, hutoweza fanya lolote kama mbunge katika nchi hii zaidi ya kutetea maslahi yako. Hayo uliyo na ndoto nayo yanahitaji kujadiliwa na kukubaliwa bungeni, kupeleka hoja peke yake haitosaidia sana. Kuingia katika siasa kwa nia hiyo ni kujimaliza, ninachoweza kukushauri, endelea na taaluma yako, anzisha NGO ama Foundation itakayowasaidia hao unaotaka kuwasaidia kwa kuwaajili baadhi yao badala ya kutaka kuwasaidia mpaka uwe mwanasiasa ama mbunge. Huihitaji ubunge ama uwanasiasa kuleta maendeleo katika maeneo hayo, tumia ujuzi wako, washawishi vijana, anzisha NGO ama Foundation , tekeleza nia zako za maendeleo, UBUNGE AMA KUCHUKUA KAHAMA MJINI ACHANA NA MAWAZO HAYO. Ni ushauri pia mtazamoMimi ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho hapa muhimbili, nalitamani na ninatamani sana kuwatumikia wananchi wenzangu wa kahama. Kilichonisukuma sana ni kuona rasilimali nyingi tulizonazo wana wa Kahama ni aibu maisha tunayoishi tukiendelea kutembelea barabara za vumbi ,ugumu wa maisha ukituandama kiasi cha kutishia amani ya wananchi na migodi pia kwa sababu naona ujambazi na matukio ya ajabu yamezidi.
Lakini pia kama kijana nimefikia uamuzi huu kwa kundi la vijana wenzangu likihangaika bila ajira .Pia kilimo chetu maarufu cha pamba na mpunga vinazidi kufifia kwa sababu ya sera mbovu za viongozi wetu walioamua kutufanya maskini kwa makusudi.
nitaendelea kutoa maelezo mengi sana kuhusiana na huu uamuzi ,Pia Wana KHM wenzangu mliomo jamvini endeleeni kunishauri kadri muwezavyo
NAWASILISHA
Asante mkuu kwa marekebisho,lakini kuhusu swala la chama mkuu ni CDM .Matatizo nlisema nitaendelea kuyaelezea mbeleni ikiwa pamoja na mipango yangu yote
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho hapa muhimbili, nalitamani na ninatamani sana kuwatumikia wananchi wenzangu wa kahama. Kilichonisukuma sana ni kuona rasilimali nyingi tulizonazo wana wa Kahama ni aibu maisha tunayoishi tukiendelea kutembelea barabara za vumbi ,ugumu wa maisha ukituandama kiasi cha kutishia amani ya wananchi na migodi pia kwa sababu naona ujambazi na matukio ya ajabu yamezidi.
Lakini pia kama kijana nimefikia uamuzi huu kwa kundi la vijana wenzangu likihangaika bila ajira .Pia kilimo chetu maarufu cha pamba na mpunga vinazidi kufifia kwa sababu ya sera mbovu za viongozi wetu walioamua kutufanya maskini kwa makusudi.
nitaendelea kutoa maelezo mengi sana kuhusiana na huu uamuzi ,Pia Wana KHM wenzangu mliomo jamvini endeleeni kunishauri kadri muwezavyo
NAWASILISHA
Hongera kwa kula simbi na kufika mwaka wa tano,\
Zaidi ya hapo sina la kukushauri
MNUBI YUPO
ilo jimbo nasikia kila aliyetangaza kugombea 2015 alikwenda na maji RIP kanumba na wengineo