Natangaza kuchukua jimbo tarajiwa la Kahama mjini

Mabadiliko yanaletwa na watu wa kada mbalimbali katika utendaji wao, sio kupitia ubunge na uongozi mwingine pekee! Wana Kahama wapo wengi sana waliosomea fani mbalimbali, kama wote wakitaka kuwa viongozi kupitia ubunge, udiwani n.k tutafika? Ushauri wangu soma kwa makini uive vilivyo, fanya internship na uwe expert kwenye utoaji wa huduma za afya uwe mfano katika kuleta mabadliko. Ukiwa mwadilifu na chapa kazi baada ya 2015 hautakumbuka tena habari ya siasa, kwa maana CDM watakuwa wameshika hatam na wewe pengine unaweza kupelekwa Kahama kwenda kuwa DMD ili ulete mabadiliko tunayoyataka katika afya.
Mwisho: Usisahau kuwaelimisha wananchi wa Kahama umhimu wa kuachana na chama cha majambazi kinachopora madini yao kila kukicha na kuwaacha wakiwa hoi bin taabani na barabara mbovu, huduma duni za afya, shule zisizo kuwa na waalimu, maabara na matizo menine kibao!

Shule njema
 
Hata akiwa mwanasiasa kwani hawezi kuwatibu watu wa Kahama na Tanzania yote hebu acheni akili finyu nyie Watanganyiki hivi sie tulilogwa na nani kila kitu kizuri watu watasema weee watatukana wee humu ndani na kusahau kuwa humu ni kwa Great thinkes.Lakini kama Muhas angeleta habari nyingine kama ya rushwa zitolewazo na Ccm duuh ungeona watetezi kibao lkn kwa mambo ya msingi watashobokea ni noma,
Kaka jipange kwa Chadema unachukua,Peoples Power
 
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho hapa muhimbili, nalitamani na ninatamani sana kuwatumikia wananchi wenzangu wa kahama. Kilichonisukuma sana ni kuona rasilimali nyingi tulizonazo wana wa Kahama ni aibu maisha tunayoishi tukiendelea kutembelea barabara za vumbi ,ugumu wa maisha ukituandama kiasi cha kutishia amani ya wananchi na migodi pia kwa sababu naona ujambazi na matukio ya ajabu yamezidi.

Lakini pia kama kijana nimefikia uamuzi huu kwa kundi la vijana wenzangu likihangaika bila ajira .Pia kilimo chetu maarufu cha pamba na mpunga vinazidi kufifia kwa sababu ya sera mbovu za viongozi wetu walioamua kutufanya maskini kwa makusudi.

nitaendelea kutoa maelezo mengi sana kuhusiana na huu uamuzi ,Pia Wana KHM wenzangu mliomo jamvini endeleeni kunishauri kadri muwezavyo


NAWASILISHA

wew n msomi tena wa chuo kikubwa kama mhmbl kwanin uctumikie wanakahama kupitia taaluma hyo kwako wewe naona siasa ungeziweka pemben
 
we uctuzingue, ulipe kwanza kodi zetu tunazokulipia hapo, na kisha ukawatumikie hospitalini. kahama hawana madaktari wa kutosha, matatizo kwa wanawake na watoto ni makubwa halafu unataka ukawatumikie kivipi, shame on you, kafungue hata kahospitali pale tupia dawa na vipimo vya uhakika tutakuona wa maana
udaktari ni taaluma so katumikie wananchi kwa taaluma yako, ususahau kulejesha mkopo ili na wadogo zako wakope

umenena kwel 2pu kaka huyo siasa haimfai kabisa a2mie taaluma yake ya msingi kuwa2mikia wanakahama
 
Back
Top Bottom