BigBaba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,909
- 9,038
- Thread starter
- #141
Hawa watoto ni changamoto Sana ndugu mi ninachoona ni kutemana tu naoKisa chako kinataka kufafana na changu ,Mimi pia Nina gal wangu anamaliza chuo mwez wa 7 mwaka huu kiu bachelor of paharmacy now tuna ugomvi hataki kunielew anataka tuachane kirahis hivyo wakti anakaribia kumaliza chuo ili tutimize malengo yetu kwa kuw nilikuw nasubir amalize chuo nikajitamburishe kwao na maisha yaendlee