Natambulisha track yangu mpya kwa Wana JF

Don Sasa huo ni wimbo gani kama ulitka kufanya wimbo wa aina hiyo basi ungetumia mikito mizito kwenye bit ungetoa ngoma Kali Sana .Siwez kizalau Kaz yako lakini kama kweli umeamua kufanya mziki basi kuwa siliazi na kazi yako Mana ni kama unatania tu.Kila la heli lakini pia Tafuta wataalamu wa afya ya akili ili uwe vizuri kwa maendeleo ya mziki wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom