stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,765
keshampata mwingine, ila kule kuna vitu anavikosa ndoo maana bado anastick kwako, na kukwambia ukweli hawezi, anasubiri wewe ukate utepe na wewe huna hiyo courage, fanya hivi; tokeni out siku moja mpige kilaji kikikolea am sure atafunguka!!! lakini vile vile umejicheki perfomance yako ikoje kitandani?
Kwani mkuu ukiwa na good Perfomance ndo husaidiwi au?