Natamani sana kumuacha ila nashindwa

Natamani sana kumuacha ila nashindwa

Zeddicus

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2012
Posts
627
Reaction score
537
Jambo wana JF!
Nimekuwa na huyu mwanamke karibia miaka miwili sasa, mwanzoni mapenzi yetu yalishamiri sana nilimpenda sana na hakuna shaka lolote kuwa nae alikua akinipenda sana.

Ameanza vituko hivi karibuni. Amekuwa ni mwingi wa usiri, busy sana na simu tukiwa pamoja na hizi dalili zinanionesha kuwa kashapata bwana mwingine ila kila nikimpa uhuru wa kunieleza ukweli kama hanipendi tena anakuwa mgumu.

Mimi binafsi natamani sana kumuacha niendelee na maisha yangu ila moyo umekua mzito kwa jinsi ninavyompenda huyu mwanamke, nimekuwa nikiumizwa sana na vitendo vyake hivi. Mbaya zaidi hivi karibuni nimemkuta na love bite ila yeye anapinga akisema si love bite kwa kuwa ni sehem ndogo tu.

Najitahidi nimpe go ahead but nashindwa kabisa...kila nikimpigia simu kumweleza tuachane nabadili topic, nikitaka kumtext najikuta nafuta sms sijui nimewekewa limbwata au ni nini kiufupi sijielewi nabaki naugulia kimoyo moyo tu na yeye habadiliki.

Nishaurini bandugu nifanyeje?? Najua nitapokea matusi dozen but ready for that atleast yatanipa the way forwad.
 
Mimi pia nilikuwa na hiyo hali ila baadae nikaja gundua ni mtoto sana ndo maana anakuwa hivyo.
Ila baadae anadai ananipenda sana
 
Mapenzi magumu sana...ila kwenye maisha ukitaka uyaweze mapenzi vizuri watu wanasema sijui uwe na hela..mimi naona unatakiwa uwe na uwezo wa kufanya maamuzi binafsi na magumu..ukishakuwa na huo uwezo..utaendesha mapenzi bila stress kabisa ngumu ni kuwa na huo uwezo sasa..
 
Mapenzi magumu sana...ila kwenye maisha ukitaka uyaweze mapenzi vizuri watu wanasema sijui uwe na hela..mimi naona unatakiwa uwe na uwezo wa kufanya maamuzi binafsi na magumu..ukishakuwa na huo uwezo..utaendesha mapenzi bila stress kabisa ngumu ni kuwa na huo uwezo sasa..

Mkuu siafu dume umenena vema, naamini hata wenye pesa ni waumini wa kuumizwa na mapenzi tu kwa njia moja ama nyingine...hakika mtu ukiupata huo uwezo wa kufanya maamuzi magumu mapenzi hayawezi kukupa shida kama hivi. Confused!
 
Last edited by a moderator:
keshampata mwingine, ila kule kuna vitu anavikosa ndoo maana bado anastick kwako, na kukwambia ukweli hawezi, anasubiri wewe ukate utepe na wewe huna hiyo courage, fanya hivi; tokeni out siku moja mpige kilaji kikikolea am sure atafunguka!!! lakini vile vile umejicheki perfomance yako ikoje kitandani?
 
Fanya uamuzi wa kiume piga chini huyo, hakuna limbwata wala nini binadamu tunajitia udhaifu wenyewe kusingizia limbwata

HARUFU ni ngumu mno kwa baadhi ya watu kuchukua maamuzi magumu! na kumbuka wako pamoja miezi 24 wamezoeana kwa kiasi kikubwa tuu, it is so difficult to let it go
 
keshampata mwingine, ila kule kuna vitu anavikosa ndoo maana bado anastick kwako, na kukwambia ukweli hawezi, anasubiri wewe ukate utepe na wewe huna hiyo courage, fanya hivi; tokeni out siku moja mpige kilaji kikikolea am sure atafunguka!!! lakini vile vile umejicheki perfomance yako ikoje kitandani?
mshana jr perfomance iko vizuri sijisifii ila n yeye mwenyewe ndio hua ananiambia...anyway kwanini asiwe mwepesi wa kuniambia kuwa tuachane hapo ndio nakuwa confused na hataki kuniambia ukweli kuwa ana njema nyingine!
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi magumu sana...ila kwenye maisha ukitaka uyaweze mapenzi vizuri watu wanasema sijui uwe na hela..mimi naona unatakiwa uwe na uwezo wa kufanya maamuzi binafsi na magumu..ukishakuwa na huo uwezo..utaendesha mapenzi bila stress kabisa ngumu ni kuwa na huo uwezo sasa..

siafu dume asikudanganye mtu ukishakamatika huna ujanja tena, no matter una moyo mgumu kiasi gani!!! mapenzi ni kitu cha ajabu mno
 
keshampata mwingine, ila kule kuna vitu anavikosa ndoo maana bado anastick kwako, na kukwambia ukweli hawezi, anasubiri wewe ukate utepe na wewe huna hiyo courage, fanya hivi; tokeni out siku moja mpige kilaji kikikolea am sure atafunguka!!! lakini vile vile umejicheki perfomance yako ikoje kitandani?
mshana jr perfomance iko vizuri sijisifii ila n yeye mwenyewe ndio hua ananiambia...anyway kwanini asiwe mwepesi wa kuniambia kuwa tuachane hapo ndio nakuwa confused na hataki kuniambia ukweli kuwa ana njema nyingine!

ok hataki kukuambia ukweli kwasababu bado anakupenda, fanya uwezavyo ukague simu yake tena bila kificho, usiogope maumivu kwa kile utakachokikuta kwakuwa kitakusaidia kuchukua maamuzi
 
Last edited by a moderator:
Jambo wana JF!
Nimekuwa na huyu mwanamke karibia miaka miwili sasa, mwanzoni mapenzi yetu yalishamiri sana nilimpenda sana na hakuna shaka lolote kuwa nae alikua akinipenda sana.

Ameanza vituko hivi karibuni. Amekuwa ni mwingi wa usiri, busy sana na simu tukiwa pamoja na hizi dalili zinanionesha kuwa kashapata bwana mwingine ila kila nikimpa uhuru wa kunieleza ukweli kama hanipendi tena anakuwa mgumu.

Mimi binafsi natamani sana kumuacha niendelee na maisha yangu ila moyo umekua mzito kwa jinsi ninavyompenda huyu mwanamke, nimekuwa nikiumizwa sana na vitendo vyake hivi. Mbaya zaidi hivi karibuni nimemkuta na love bite ila yeye anapinga akisema si love bite kwa kuwa ni sehem ndogo tu.

Najitahidi nimpe go ahead but nashindwa kabisa...kila nikimpigia simu kumweleza tuachane nabadili topic, nikitaka kumtext najikuta nafuta sms sijui nimewekewa limbwata au ni nini kiufupi sijielewi nabaki naugulia kimoyo moyo tu na yeye habadiliki.

Nishaurini bandugu nifanyeje?? Najua nitapokea matusi dozen but ready for that atleast yatanipa the way forwad.

I can understand how yu fil. Pole sana bandugu. Am a also a victim jaman. Yan acha kabisaa hii hali.
 
Ahsante mkuu biee mapenzi yanauma asikwambie mtu, sijui tafanyaje!
 
Last edited by a moderator:
siafu dume asikudanganye mtu ukishakamatika huna ujanja tena, no matter una moyo mgumu kiasi gani!!! mapenzi ni kitu cha ajabu mno
Hilo ndo linakua gumu sana mkuu mshana jr..yaani unaweza kuwa mbishi na unajidai mjanja ila kuna mahali unakamatwa mzee noma, unaweza kuwa unatoa ushauri sana kwa washkaji wawe wagumu wasimame kiume..ila unakamatwa unajiuliza ule ushauri wote nliokuwa nawapa washkaji umeenda wapi..acha tu mkuu..
 
Mkuu siafu dume umenena vema, naamini hata wenye pesa ni waumini wa kuumizwa na mapenzi tu kwa njia moja ama nyingine...hakika mtu ukiupata huo uwezo wa kufanya maamuzi magumu mapenzi hayawezi kukupa shida kama hivi. Confused!
Ni kweli mkuu..unaweza hata kuwa mshauri mzuri tu kwa washkaji..kwamba wasimame kiume wasiendeshwe endeshwe..lkn mzee ukakamatwa mpaka unajiuliza ule ushauri na kujitapa kumeishia wapi..ila kwa hii ishu yako ukishajua nini kinakusibu kama hivyo unaanza kuchukua hatua taratibu na unatengeneza mechanisim za kuheal kabla ya kuchukua maamuzi..na ukumbuke mkuu hakuna kosa kubwa kama mwanamke kukucheat..
 
Mkuu moyo wangu unatamani kumuacha ila nimeshindwa...nifanyeje??

Kuna wakati inafika inabidi kufanya maamuz magumu na baada ya hapo simamia uamuzi wako hata kwa kujiapiza, maumivu ya leo si sawa na ya kesho wala a week later
 
Back
Top Bottom