papaa masikini
Senior Member
- Mar 5, 2011
- 176
- 69
Habari zenu ndugu zangu,wana Jf,kwa masikitiko makubwa nachelea kuituma hii post,kwa machungu!!
Hii leo nchi iko kwenye aibu kubwa sana ya mgao wa umeme,usiyokuwa na kichwa wala miguu,badala yake leo hii tunaambiwa kuwa wanamagamba,ambao ndo "SERIKALI YA CCM"wapo kwenye maandamano makubwa waliyoyaandaa huko mbeya,kwa lengo tu la kukitangaza chama na dhana yao ya Kujivua Gamba na kuwanadi viongozi wao wanaotaka kuiwania nchi 2015,akiwemo Sitta,Mwakyembe,Kilango nk...na siyo kuwazia suala la umeme linaloitikisa nchi kwa sasa!!
Binafsi nayalaani haya maandamano,yapigwe mawe!!
Hii leo nchi iko kwenye aibu kubwa sana ya mgao wa umeme,usiyokuwa na kichwa wala miguu,badala yake leo hii tunaambiwa kuwa wanamagamba,ambao ndo "SERIKALI YA CCM"wapo kwenye maandamano makubwa waliyoyaandaa huko mbeya,kwa lengo tu la kukitangaza chama na dhana yao ya Kujivua Gamba na kuwanadi viongozi wao wanaotaka kuiwania nchi 2015,akiwemo Sitta,Mwakyembe,Kilango nk...na siyo kuwazia suala la umeme linaloitikisa nchi kwa sasa!!
Binafsi nayalaani haya maandamano,yapigwe mawe!!