Imesalia miaka kadhaa hivi niwe na miaka thelathini, lakini sijui ni ushamba au ni matatizo yaliyokithiri kiasi cha kushindwa kuwa na historia ya kuwa mpenzi hadi sasa.
Lakini kwa sasa nina hamu kubwa ya kuwa na mpenzi. Kimsingi nimekulia mtaani kama chokoraa lakini nikawa na mtazamo tofauti na watoto wengine wanao kulia mtaani fikra zangu zote ni kwamba niwe msomi hivyo nguvu na akili yangu yote ilikuwa nikutafuta namna ya kupata elimu rasmi.
Nimefanikiwa kuhusu hilo nimemaliza form six mwaka huu na nimefaulu natafuta mtu jinsia ke' wakuni sifia ninapofanya vizuri na kunitia moyo pale changamoto zinapokuwa nyingi 'SINA NDUGU RASMI' ukihisi tunaweza kusonga na haya maisha niujuze kwa namba hii.
Lakini kwa sasa nina hamu kubwa ya kuwa na mpenzi. Kimsingi nimekulia mtaani kama chokoraa lakini nikawa na mtazamo tofauti na watoto wengine wanao kulia mtaani fikra zangu zote ni kwamba niwe msomi hivyo nguvu na akili yangu yote ilikuwa nikutafuta namna ya kupata elimu rasmi.
Nimefanikiwa kuhusu hilo nimemaliza form six mwaka huu na nimefaulu natafuta mtu jinsia ke' wakuni sifia ninapofanya vizuri na kunitia moyo pale changamoto zinapokuwa nyingi 'SINA NDUGU RASMI' ukihisi tunaweza kusonga na haya maisha niujuze kwa namba hii.