Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
- Ukiwa Mzanzibar unapata umeme bila mgao,
- Ukiwa Mzanzibar unaweza kumiliki shamba Micheweni (Zanzibar) na jingine ukamiliki Dakawa (Morogoro),
- Ukiwa Mzanzibar unaweza kupiga kura kumchagua Diwani na Mbunge Tandika (Temeke) au Mji Mkongwe (Zanzibar),
- Ukiwa Mzanzibar unaweza kuishi Sengerema (Mwanza) bila kubaguliwa kutokana na dini yako au kabila lako au ukaamua kuishi Bujibuji (Zanzibar),
- Ukiwa Mzanzibar unaweza kuwa Diwani wa Katoro (Geita) au diwani wa Micheweni (Zanzibar).... kwa raha zako