Natamani kupenda tena

Moyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.

Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
Ucjalii utapata tyu utakaye mpenda muhimu ni kusubir muda ufke utapata tyuu ucwe na haraka kingine msirikishe Mungu pia
 
unajifanya unamsimamooo

fanya kugeana contact bhana
kisha mpeane mambo ya nini kubaniana.

Hahahaa siyo kirahisi hivyo aisee. Mwenza wa maisha siyo kama kachumbari ya harusini kuwa mtakula cku moja ni life long issue!
I think time is yet to come!
 
Kilicho chema hupata jema. Sina maana ww sio mwema bali mapenzi ni staha na karaha. Na sikuzote huwezi pata ukitakacho bali utajenga ulicho nacho ili kiwe ukipendacho
 
Kwel wanaowasaliti wapenz wao hua hawajui nn thmn ya mapenz ndio maana wanakua fasta xana kuumiza moyo wa mt bila kutambua ipo siku nao watalipiziwa2 ila dont wory weny true love wapo sema hujataka dada yangu kuwakubalia n kuona how walivyo
 
Back
Top Bottom