Atafute pesa kwanzakanuni ni moja tu.....jifunze kumpenda anae kupenda...
Atafute pesa kwanzakanuni ni moja tu.....jifunze kumpenda anae kupenda...
Mimi huwa sielewi mnaosema watu waoe mwanamke asiyemvutia kisa tu huyo mwanamke kampenda. Ukioa asiyekuvutia utawahi kumkinai mapemaUkiwa na Mke/mpenzi anaekupenda utaenjoy sana mapenzi na maisha kwa ujumla, mpe nafasi akupendae, usiseme kuwa hawakuvutii huo ndo uumbaji Wa Mungu, nao wameumbwa hivo, wavumilie kwa mapungufu waliyonayo.
Mimi huwa naona ni kitu kigumu mnooo kuliko kuhamisha Mlima, kuishi na kiumbe usichokipenda, ulale nacho, uamke nacho, ule nacho ni kipengele mazeeHii kitu nilidhani ni rahisi,lakini ni jambo gumu sana kumpenda mtu eti kwasababu anakupenda
Mimi huwa naona ni kitu kigumu mnooo kuliko kuhamisha Mlima, kuishi na kiumbe usichokipenda, ulale nacho, uamke nacho, ule nacho ni kipengele mazee
Asipoelewa hii comment ashikwe awekwe bakora.Hao unaotamani kuwa nao ukute nao wanakuona upo upo tu kama wewe unavyowaona hao namba mbili ambao wanakushobokea ila wewe huna time nao
Unapopenda haitakiwi umuonyeshe muhusika kuwa umerukwa akili kwasababu yake maana hiyo itamtisha na kumfanya aloose interest kwako.Hii kitu nilidhani ni rahisi,lakini ni jambo gumu sana kumpenda mtu eti kwasababu anakupenda
Solution ni serikali itoe mikopo ya riba nafuu ya vijana wa umri wa kuoa waweze kujipatia pisi kali. Hiyo mikopo iitwe Pisi kali loans.Shida ni kwamba vijana 90% rika la kuoa wanataka kuoa/chumbia pisi kali......
Pisi kali 90% zinataka mwenza mwenye hela isiyokuwa ya mawazo...
90% vijana wa rika la kuoa, 28+ of age hawana cash flow ambayo 90% pisi kali wanataka. ...
Ni changamoto ambayo no one knows the solution.
Tuendelee kutafuta hela.
watu kama wewe huwa mnaishia kuumizwa kwasababu kanuni kubwa ya maisha huwa atupati tunavyo vipenda bali tunavyo stahili..anae kupenda humpendi unampenda ambae hakupendiHahahh kwangu mie huwa ni ngumu hii
Ubongo wangu huwa unaniambia tangu mwanzo "huyu kiumbe huwezi kumpenda" so haipo namna nitampenda eti sababu amenipenda
Niliwahi jaribu huo ujinga hakika ni mateso bila chuki, mpaka leo najutia yale maamuzi.Mimi huwa naona ni kitu kigumu mnooo kuliko kuhamisha Mlima, kuishi na kiumbe usichokipenda, ulale nacho, uamke nacho, ule nacho ni kipengele mazee
Uwezo wa kukaa na house girl anautoa wap wakati hapo alipo isikute hata kumiliki boksa tatu ni shida.Age yako mnatakaga kuoa malaika ila dunia ikikufunza ata house girl utachukua
Nakazia tu, na hizo pisi kali zaweza kuwa zilishatumika vya kufa mtu, mibaba yenye familia zao ndio inagharamia hiyo lishe na mavazi, kijana anafikiri ni mwènzie kumbe kaachwa mile kibaoShida ni kwamba vijana 90% rika la kuoa wanataka kuoa/chumbia pisi kali......
Pisi kali 90% zinataka mwenza mwenye hela isiyokuwa ya mawazo...
90% vijana wa rika la kuoa, 28+ of age hawana cash flow ambayo 90% pisi kali wanataka. ...
Ni changamoto ambayo no one knows the solution.
Tuendelee kutafuta hela.
Na hapa ndipo tabu ilipo!Shida ni kwamba vijana 90% rika la kuoa wanataka kuoa/chumbia pisi kali......
Pisi kali 90% zinataka mwenza mwenye hela isiyokuwa ya mawazo...
90% vijana wa rika la kuoa, 28+ of age hawana cash flow ambayo 90% pisi kali wanataka. ...
Ni changamoto ambayo no one knows the solution.
Tuendelee kutafuta hela.