Natamani kumjua Kibwana Dachi wa Magic Fm

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,449
Huyu mzee hapatikani kwenye mtandao wa kijamii wowote,hapatikani Facebook,Twitter,instagram,jf,Google,YouTube,snapchat na ukute hata whatsapp hayupo huyu mzee.natamani sana kumjua sura yake,naomba mwenye picha yake atupie hapa maana ni mchambuzi mzuri sana wa habari,kama humjui sikiliza Magic fm kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa nne.
NB:Magic fm ndio redio ambayo ni kongwe ila imedumaa vibaya sana.haina vipindi vilivyopangika,inshot ndio redio ya zamani ambayo ni ya hovyo kupita redio zote
 
Huyu mzee hapatikani kwenye mtandao wa kijamii wowote,hapatikani Facebook,Twitter,instagram,jf,Google,YouTube,snapchat na ukute hata whatsapp hayupo huyu mzee.natamani sana kumjua sura yake,naomba mwenye picha yake atupie hapa maana ni mchambuzi mzuri sana wa habari,kama humjui sikiliza Magic fm kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa nne.
NB:Magic fm ndio redio ambayo ni kongwe ila imedumaa vibaya sana.haina vipindi vilivyopangika,inshot ndio redio ya zamani ambayo ni ya hovyo kupita redio zote
mtoa mada acha uvivu, umetafuta picha yake google umeikosa au ni uchokozi tu? haya kwa sababu wewe ni mvivu picha zake Mr. Dachi hizo hapo.... Kwenye Google yupo na hata katika social networks nyingine kuna uwezekano pia yupo sema kwa kuwa wewe ni mvivu ndio maan hujafanikiwa kumpata...
 

Attachments

  • DSC_0231.jpg
    DSC_0231.jpg
    18.1 KB · Views: 211
  • images.jpg
    images.jpg
    4 KB · Views: 223
mtoa mada acha uvivu, umetafuta picha yake google umeikosa au ni uchokozi tu? haya kwa sababu wewe ni mvivu picha zake Mr. Dachi hizo hapo.... Kwenye Google yupo na hata katika social networks nyingine kuna uwezekano pia yupo sema kwa kuwa wewe ni mvivu ndio maan hujafanikiwa kumpata...
Asante sana,ila acha maneno ya kinafiki.we ni mwanaume sasa unapokuwa na maneno mengi nakuwa na walakini na wewe,acha masimango na majungu kijana
 
Asante sana,ila acha maneno ya kinafiki.we ni mwanaume sasa unapokuwa na maneno mengi nakuwa na walakini na wewe,acha masimango na majungu kijana

Huna haja ya kuwa na walakini na mimi wala nini? masimango na majungu yangu kwani yametoka wapi? hebu quote kwanza thread yangu then niambie ...
 
Nimejikuta nacheka tu baada ya kusoma huu uzi We jamaa nuksi kweli kweli ,unamsifia Kibwana dachi halafu unaiponda Magic fm kuwa ndio redio ya zamani tena ya hovyo kweli kweli.Daaah..
 
Redio isiyokua miaka yote hiyo ikifuatia times fm,redio ya hovyo kabisa

Bora hata hao Magic wana frequency mikoa kama mitano, lakini hawa TIMES ndo vimeo mpaka basi. We miaka yote hiyo ki frequency kimoja tu maendeleo waliopata ni kuamia KAWE kwenye kamjengo kao lakini mengine ni zero.
 
Back
Top Bottom